Nauza Sony Experia Z

Nauza Sony Experia Z

Digaller

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2009
Posts
868
Reaction score
784
Nauza Sony Experia Z imetumika mwezi Mmoja.

Ina internal memory 16 gb
Os Jelly Bean 4.0 upradable to 4.1.2
Water Proof
Unlocked
HD camera ya 13 Mp
Min Sim card

BEI Tsh 600,000
Mawasiliano; 0789776477

uploadfromtaptalk1376557206919.jpg
 
Nauza Sony Experia Z imetumika mwezi Mmoja.

Ina internal memory 16 gb
Os Jelly Bean 4.0 upradable to 4.1.2
Water Proof
Unlocked
HD camera ya 13 Mp
Min Sim card

BEI Tsh 600,000
Mawasiliano; 0789776477

View attachment 107281

Kaka haina tatizo lolote. IPO VIZURI HAINA HATA SCRATCH MOJA
 
Tablet sina unaweza icheck ebay kama utaweza.
 
hv neno unlocked uwa lina maana gani..msaada tafadhali
 
Mzigo bado upo. Kwa mwenye kuhitaji anicheck kwa PM.au anipigie simu.
 
Mbona mdau hupatikani kwenye iyoo namba uliyotoa find me tufanye biashara kaka namba yangu ni 0713239001
 
Mkuu mbona napatikana sana tu. Namba ni hii hapa 0789776474.

Inawezekana ni tatizo la mtandao.
 
Mkuu laki tano hapana. Haishuki chini ya hapo zaidi inaweza kupanda.
 
Nakutftia mteja alafu utanipa kumi elfu tu my no 0787459850
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom