Nauza Sony Experia Z

Nauza Sony Experia Z

@jibollin mkuu hiyo Sony umeuziwa mtaani au dukani? Je ina dhamana?
 
Sigma Sony hiyo si mchezo,natumia leo kama miezi 6 iko poa sana,
 
Last edited by a moderator:
Si mbaya kama atafanya hivyo.
sina objection.
am suprised.
As long as three parties will be satisfied; the seller Gbollin, the Unknown buyer and the Broker DALALI Jerhy, me niko happy.
But learned.
 
Last edited by a moderator:
@jibollin mkuu hiyo Sony umeuziwa mtaani au dukani? Je ina dhamana?


Nimenunua mwenyewe dukani nilipokua Montevideo.

Ni nzuri sema kinachoboa ni baadhi ya application ambazo nilikua napenda kuzitumia hazifanyi kazi hapa Tanzania.
 
sina objection.
am suprised.
As long as three parties will be satisfied; the seller Gbollin, the Unknown buyer and the Broker DALALI Jerhy, me niko happy.
But learned.


Ni kubwa sana Mkuu tofauti na mawazo yako. Ni nyembamba bt pana kiaina than Iohone 4. Kitu kinachoifanya kuwa juu ni hiyo ya kuwa Waterproof kwamba hata kwenye Mvua huna haja ya kuificha unaweza itumia.

Na hata kama upo kwenye swimming pool unaogelea u can take videos and pictures ukiwa ndani ya maji.

Kwa 13mp sidhani kama kuna smartphone ambayo ina camera ya aina hiyo na pia imepigwa support ya Bravia so screen yake ni balaa kama unaangalia video unaweza than upo kwenye sony bravia.

Kingine ni kwamba unaweza unganisha kwa Tv na kisha kuangalia kila kitu unachofanya kwenye simu kwa Tv yako.

Hapa Sony walijitahidi sana kwa kutoa hii kitu japo original os yake ni ya kizamano so.unaweza upgrade ww mwenyewe bt hii iba 4.0.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu mbona xperia z zimetoka mwaka huu 2013, zinakuja pre installed na android os version 4.1.2, upgradeable to version 4.2.2, sasa hiyo ya android version 4.0 imetoka wapi?
 
Ni kubwa sana Mkuu tofauti na mawazo yako. Ni nyembamba bt pana kiaina than Iohone 4. Kitu kinachoifanya kuwa juu ni hiyo ya kuwa Waterproof kwamba hata kwenye Mvua huna haja ya kuificha unaweza itumia.

Na hata kama upo kwenye swimming pool unaogelea u can take videos and pictures ukiwa ndani ya maji.

Kwa 13mp sidhani kama kuna smartphone ambayo ina camera ya aina hiyo na pia imepigwa support ya Bravia so screen yake ni balaa kama unaangalia video unaweza than upo kwenye sony bravia.

Kingine ni kwamba unaweza unganisha kwa Tv na kisha kuangalia kila kitu unachofanya kwenye simu kwa Tv yako.

Hapa Sony walijitahidi sana kwa kutoa hii kitu japo original os yake ni ya kizamano so.unaweza upgrade ww mwenyewe bt hii iba 4.0.



Mkuu ni typing error tu nlitaka kuandika 4.1.2 Jelly Bean na unaweza ku~upgrade to 4.2.2
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom