Ray 4 real
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 800
- 762
- Thread starter
- #61
Unapatikana wapi mkuu nitumie no yako tuongee zaidiCHUKUWA VYOTE 150,000/=
Unapatikana wapi mkuu nitumie no yako tuongee zaidiCHUKUWA VYOTE 150,000/=
Mkuu pm inakataa nitumie noCHUKUWA VYOTE 150,000/=
OkBig up
Mkuu mbona uko online halafu hujibu?? Nitumie pm mm inakataaCHUKUWA VYOTE 150,000/=
Mkuu nimekupigia hupokei nimekutumia na textNmeku PM namba yangu ila sijaona mrejesho kama umeshauza basi sema kua biashara imefungwa!!!
Sofa shuka shuka basi nikupe helaHabari za usiku huu wapendwa nipo dar nauza sofa (120000) , fern 15000 pamoja na decorder ya Startimes na antenna yake na waya 40000 vifaa vyote hivo havijatumika sana
View attachment 592299
Nipo dar vingunguti, kwa maelezo zaidi pm
Kumbe we ni dada??Wakuu VP
Siohivyo mkuu, labda kaona avatar haifanani na mkono ulioshika hizo cable nyeusi za kinga'muzi.Jamaa haoni ata hiyo avatar yako ulivyomrembo.
Namba ya simuNipo mbezi mwisho nauza friji/refrigerator kwa shilingi 50,000(elfu hamsini)
Brand=SHARP
capacity =158litres
Ndio kwani vpKumbe we ni dada??
Kwa sh ngapSofa shuka shuka basi nikupe hela