kimpango
JF-Expert Member
- Apr 24, 2011
- 600
- 717
BadoNishakujibu pm
BadoNishakujibu pm
Ooh sawa DadaMm sio kaka ni Dada
MI CIELEWI MBNA PM HUJIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIOoh sawa Dada
Hakuna muuzaji hapa ndugu yanguMI CIELEWI MBNA PM HUJIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII
Wengine wanataka kujiuza wao yupo online pm haji vurugu tupuHakuna muuzaji hapa ndugu yangu
Anzisha uzi wako!Nipo mbezi mwisho nauza friji/refrigerator kwa shilingi 50,000(elfu hamsini)
Brand=SHARP
capacity =158litres
Halafu naomba tuheshimiane sawa kama we unajiuzaga kwenye mitandao usifikir na wengine wako hivoWengine wanataka kujiuza wao yupo online pm haji vurugu tupu
Sasa mnafikiri nalala mtandaoni?? Hiyo pm umetuma SAA ngapi mpaka uanze kulalamika , yaani mtu utume pm SAA 8 usiku utegemee kujibiwa muda huo?? Em behave kama MTU mzma bhanaMbona pm huji au we tapelii
Umetuma no so subiri nitakupigia ulitaka nije pm kufanya nn na ushatuma noMI CIELEWI MBNA PM HUJIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII
CHUKUWA VYOTE 150,000/=Habari za usiku huu wapendwa nipo dar nauza sofa (120000) , fern 15000 pamoja na decorder ya Startimes na antenna yake na waya 40000 vifaa vyote hivo havijatumika sana
View attachment 592299![]()
![]()
![]()
![]()
Nipo dar vingunguti, kwa maelezo zaidi pm
Du startimes imefikia 120000?Nimeweka mkuu , fern 15000, sofa 120000 Startimes na antenna yake 40000
Habari za usiku huu wapendwa nipo dar nauza sofa (120000) , fern 15000 pamoja na decorder ya Startimes na antenna yake na waya 40000 vifaa vyote hivo havijatumika sana
View attachment 592299![]()
![]()
![]()
![]()
Nipo dar vingunguti, kwa maelezo zaidi pm
Jamaa haoni ata hiyo avatar yako ulivyomrembo.Mm sio kaka ni Dada
Soma vizur 120000ni sofa Startimes 40000Du startimes imefikia 120000?
Hata ww huoni hiyo avatar kwamba sio mmJamaa haoni ata hiyo avatar yako ulivyomrembo.
Njoo pm mkuu ,CHUKUWA VYOTE 150,000/=