- Kwenye hili jukwaa watu wananunua na kuuza
- Anaweza kununua hapa hapa na akauzia hapa hapa au kwingine kwa faida kidogo
- Ndivyo nilivyomuelewa jamaa, Je unamfahamu, (Aione🙂 hekimatele
Mwalimu kulikoni tena?
Mi na wewe Mwalimu tunafanya biashara bhana sijawahi kukuletea longo longo.
Hawa jamaa wakiona tunacomment humu kuulizia bidhaa wanadhani tunaleta utani.
Siku hizi mi nimeacha kucomment kwa sana. Kama tangazo lako liko makini na bidhaa inaeleweka nakuukia hewani tunamaliza biashara fasta.
Tatizo wengine wanaleta biashara tangazo halijakamilika na ukiwauliza picha visingizio kibao, mara mtandao uko chini mara picha zinagoma ku upload mara...... yaani full vibweka.
Kuna matangazo humu yanachosha sana watu.
Na nyie mnaoweka matangazo humu acheni makelele mkiulizwa maswali. Wengine hamjuagi tu ila mkipigiwa simu hamjui mnafanyaga biashara na nani. Au unataka nije kusema hapa
hekimatele tayari nshanunua?
Kimya kimya tu mambo yanaenda.
We ukiulizwa maswali kuhusu bidhaa yako we weka details za kutosha.
Au mnakuwa mmeiba ndo maana mnaogopa kuweka mambo hadharani?
manake haya mambo yapo sana unakuta mtu kaiba simu kwa shemeji yake anasema anaiuza akiulizwa picha anazingua akitafutwa kwa simu full visingizio kumbe shemeji kasham bamba kachukua chake.
Fanya business kausha endelea na mambo mengine.