Constantine1
Member
- Jun 14, 2016
- 31
- 7
- Thread starter
- #21
Ni shamba lote, lipo katikati ya mikumi na kilosahiyo bei ni kwa shamaba lote?,shamba liko sehemu gani?
Ni shamba lote, lipo katikati ya mikumi na kilosahiyo bei ni kwa shamaba lote?,shamba liko sehemu gani?
Ni pmNi eka zote 20 kwa 2,500,000.
zinafaa kwa kilimo cha umwagiliaji na kufuga
ndiyoWapi Ulaya?
Ulaya ipi?ndiyo
ukitokea mikumi kabla hujafika kijijini ulaya unakata kushoto unaenda na barabara inayoenda maeneo ya mission ya catholic sio umbali mrefu unafikaUlaya ipi?
sawa,vioi hapo panafaa kulima nini?Ni shamba lote, lipo katikati ya mikumi na kilosa
OyooooooWera wera hapo unauiziwa kingo za mfereji umbali wa Eka20. Jamaa ana akili sana.
Ekari 20 nnazozifahamu mimi kwa million 2![]()
![]()
afuu lipo pembezoni mwa mto,,mtakuja kutuuzia na hifadhi za serikali walai

nipm namba yako ya simuNi eka zote 20 kwa 2,500,000.
zinafaa kwa kilimo cha umwagiliaji na kufuga
Wera wera hapo unauiziwa kingo za mfereji umbali wa Eka20. Jamaa ana akili sana.
Kwani bei kwa heka vijijini hasa mikoani unadhani shilingi ngapi?Ekari 20 nnazozifahamu mimi kwa million 2![]()
![]()
afuu lipo pembezoni mwa mto,,mtakuja kutuuzia na hifadhi za serikali walai
Nasubiri namba yako ya simu nipo Moro mjini hapa kesho nifunge safari ya huko asee fanya fasterBei Ni milioni mbili na nusu,shamba lipo jirani na mto usiokauka maji linafaa kwa kilimo na ufugaji.
Muhitaji tuwasiliane Mara moja.
sawa,vioi hapo panafaa kulima nini?
Nasubiri namba yako ya simu nipo Moro mjini hapa kesho nifunge safari ya huko asee fanya faster
aisee patamu sana hapomahindi,maharage,mpunga,mboga za majani,ndizi,matunda,ufuta,mbaazi,choroko ,muhogo.
Ulete na mrejesho hapa mkuuNasubiri namba yako ya simu nipo Moro mjini hapa kesho nifunge safari ya huko asee fanya faster
Mwenyewe nipo mkoani kaka Tena mbeya lakini hiyo bei siafiki kabisa ardhi imepanda bei saanaKwani bei kwa heka vijijini hasa mikoani unadhani shilingi ngapi?
Laki1 unapata heka sasa kwa hizo 20 ni reasonable kabisa hapa cha msingi siyo bei ila kuthibitisha uhalali wa umiliki hilo shamba.