Nimekupm imegoma nipm yakoNipe no yako nikucheki asubuhi
+255 655 204 141Nimekupm imegoma nipm yako
Kama unahitaji njoo siwezi kuweka imei hapa mkajifanya imeibiwa then ifungwe.simu originalWeka imei code tuangalie kwanza ..
Leta nikupe yanguKula mbili mkuu
Leta nikupe yangu
Asantee mkuuKula 220k
used kwa siku kama 5 hivi ni hakuna utofauti na mpya.Itakuwa Sio mpya kabisa, naamini hiyo simu itakuwa ni used japo hata kidogo bhana. Unataka kusema hata kuiweka laini hujaweka mkuu?
Chukua S4 Active used kwa hiyo bei, imepasuka kioo ila inapiga kazi vizuri kabisa.Nina 220000 cash upo wapi tufanye biashara
Hapana mkuu asanteeNina 220000 cash upo wapi tufanye biashara
Spea ya kioo ya s4 bei gani mkuu?Chukua S4 Active used kwa hiyo bei, imepasuka kioo ila inapiga kazi vizuri kabisa.
Sijaulizia aisee...Spea ya kioo ya s4 bei gani mkuu?