Nauza samaki, toa oda yako

Nauza samaki, toa oda yako

Payment inakuaje? Upon arrival au?? Maana naogopa sana kufanya biashara ya kutuma kwanza pesa
Kama upo Dsm unapokea ndo unalipa, Mzigo unafikia Airport, kufikishiwa mpaka mlangoni kwako inawezekana pia ni suala la kulipia delivery tu.
 
Kwahioo unajitangaza rejareja ukipata jumla utudis sio aiseee nakushauri hio comment futa mkuu hata aliekuwa na hamu ya kununua atakimbia...

Sema ukupata wengi wa jumla utanza kuuza pia jumla sio uachqne na rejareja 😬 🤭
 
Kwahioo unajitangaza rejareja ukipata jumla utudis sio aiseee nakushauri hio comment futa mkuu hata aliekuwa na hamu ya kununua atakimbia...

Sema ukupata wengi wa jumla utanza kuuza pia jumla sio uachqne na rejareja 😬 🤭
Sasa si mtakuwa munanunua kwa wateja wa Jumla au?
 
Back
Top Bottom