Nauza Samaki aina ya Jodari

The ice breaker

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2023
Posts
1,119
Reaction score
2,430
Wakuu habari

Nina aina hii ya samaki Jodari wadogo.. Ni samaki mwenye stake nyingi kuliko miba.. Ni mzuri na ni mtam sana.

Kama upo hapa Dar, nakuletea mpka ulipo , gharama za usafiri inategemea mahali ulipo.

Bei ni 12000 tu, kwa mmoja

0616274277.

Napatikana Kigamboni

 
Duh hicho kibao au meza yako unayo katia hao samaki its 'awful' ungeificha ni hatari kwa afya zetu.
 

Mmoja ana Kg ngapi?
 
Vipi, ungebadilisha jina kidogo ukaziita johari si ungepiga hela sana?... Kila la heri mkuu
 
Hizo 'chips' za ubao zina ingia kwenye nyama ya samaki wakati wa kukata kata huyo samaki.
Ningependa kufahamu zaidi chips za ubao zina madhara gani zikiingia tumboni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…