jk kisiwa
Senior Member
- May 31, 2016
- 131
- 99
Kama kichwa hapo juu kinavyo eleza nafuta wateja wa jumla nitakao kuwa nawauzia sabuni kutoka kigoma kwa bei ya jumla kwa bei poa.
Sabuni hizi hutengenezwa kigoma ni nzuri kwa kuogea huondoa chunusi mabaka pia hulainisha ngozi kwa kufulia pia ni bora kwani hutoa povu jingi kwa sehemu wanapotumia maji ya chumvi
mfano wake ndio huu ila zitakuwa zinauzwa kwa bei ya jumla
Sabuni hizi hutengenezwa kigoma ni nzuri kwa kuogea huondoa chunusi mabaka pia hulainisha ngozi kwa kufulia pia ni bora kwani hutoa povu jingi kwa sehemu wanapotumia maji ya chumvi