Mnatuzinguaga tu mavitu kibao feki na yamepitishwa na hao tfda yapo supermarket (artificial zote zina preservatives, etc), sasa huyu kakwambia kabisa kitu natural, na isitoshe ndio anaanza! Soon huo wimbo wa tfda tutaanza kuuskia hadi kwenye maandazi ya mama ntilie! Au kisa kuweka kwenye chupa? Au kuipa jina?
Ni kweli ila kuna haja ya marekebisho makubwa ya hizi sheria kwenye hizi nchi ambazo bado zimo kwenye list ya umaskini. As of the current situation afuate ushauri wako wa kutafuta vibali, na atumie "maarifa ya ziada" kuhakikisha hakwamishwi na huo utaratibuUnaongea nyuma ya keyboard,siku wakikamata bidhaa zake wewe hautokuepo
Hasara itakua kwake
Hivyo ili kufanya biashara yake kwa amani ni vizuri akawa hana mtafaruku na mamlaka
vipi!! umetishika!!!Acha vitisho wewe, unafikiri mtu anapigwa pingu hovyohovyo tu, elimisha sio kutishana
bei nimeweka mkuu....Tatizo umesahau bei
Mkuu nakutumia fasta ata km ni one bottle...nicheck 0629565168aaaaaawwww kwa nyama nyama dah!hebu muilete na mikoani
Temeke nako kuna Mabwepande?mkuu nahitaji robo lita unaweza kuniletea huko Temeke Mabwepande
Mkuu nakutumia fasta ata km ni one bottle...nicheck 0629565168
[emoji1] [emoji2] [emoji3] karibu sana mkuuNIMECHUKUA namba yaan dah !nikija dar nitaichukua !soon naja!
yaan hyo mie unajua naiweka kwenye nn!nafry jodari ***** wa kunitosha then napika pilau hyo ndo itakuwa nalumangia na jodari wangu !
cc ,Miss Natafuta kula kula mwenzangu
Mie naishi tabora.je waweza nielekeza jinsi ya kutengeneza ili na mm nitengeneza badala ya kuwa mayer iwe taborayerMchanganyiko wa matunda, tangawizi, vitunguu swaumu, vinegar....inapatikana ktk ujazo tofauti. Watu wa bar, restaurant, BabaQ n.k naweza kukuwekea ktk ujazo kulingana na maitaji yako kibiashara...nafanya delivery bure kwa Dar es salaam siku ya ijumaa na jumatatu...0653408957 na 0629565168
Nayer [emoji115]Mie naishi tabora.je waweza nielekeza jinsi ya kutengeneza ili na mm nitengeneza badala ya kuwa mayer iwe taborayer
Chukua no tuwasiliane basi mkuu.Mie naishi tabora.je waweza nielekeza jinsi ya kutengeneza ili na mm nitengeneza badala ya kuwa mayer iwe taborayer
Ni PM plizChukua no tuwasiliane basi mkuu.
Nayer ni brand mkuu.....mandiko la nauza pilipili aina ya Nayer wameidt mamods....Bandiko langu lilikuwa NAUZA PILIPILIHiyo Neyer's ni aina ya pilipili au ni brand?
Kama ni brand basi usiseme unauza pilipili aina ya Neyer's
Kwasababu aina ya pilipili ni mfano- pilipili mbuzi, pilipili hoho etc. Sijawahi kusikia pilipili aina ya neyer's
Vipi mkuu unataka ku- Double your appetite? Nikulete kabottle kamoja[emoji1] [emoji2] ni msisimko wa kitanzania kweli kweliHiyo Neyer's ni aina ya pilipili au ni brand?
Kama ni brand basi usiseme unauza pilipili aina ya Neyer's
Kwasababu aina ya pilipili ni mfano- pilipili mbuzi, pilipili hoho etc. Sijawahi kusikia pilipili aina ya neyer's