i love the JF spirit,wakati ninawaza nikwambie nikupigie picha ili members waione kumbe kuna mwenyeji ameshajitolea kukupigia picha hiyo nyumba.
Mimi nakushauri usiuze hiyo nyumba/Aset .kama umehamishiwa dodoma kikazi usiuze.umuhimu wa kumiliki asset kama nyumba ni mkubwa sana,fanya yafuatayo utayaona matunda.
Mji wa kigoma unakua kwa kasi,Reli inahimarika,barabara inakamilishwa and Fly540 wanafungua route to kigoma mwezi july.
Register Kampuni,nenda bank kakope pesa ya kumalizia nyumba,ifanyie modification iwe Guest House ya kileo.then pesa inayotoka hapo unalipa mkopo,after few years utayaona matunda.
mimi nipo kigoma for few Days wadau nipeni Toure guide ya kigoma and good places to hangout,Friday nimeenda Lake Tanganyika Pako safi,juu kama ulaya,nimevisit baa inaitwa new faith ya Mr,Katembo wa TPA.
please recomend some good activities while i am here over the weekend