Nauza Nyumba KIGOMA-MJINI

Nauza Nyumba KIGOMA-MJINI

Edson Zephania

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2011
Posts
517
Reaction score
112
Wana Jf kuna nyumba ipo Mkoa wa kigoma mjini jirani na soko la Nazareti. Nyumba ni ya block imeishaezekwa bati, milango na madirisha yameshawekwa kilichobaki ni kupiga sakafu, plasta ndani na nje pia wiring bado. Kwa yeyote anayehitaji ani PM na bei ya kuanzia ni sh mil 27.
 
kigoma mil.27?mkuu ingekua vyema ungetoa data za kutosha!kama kiwanja kina hati,na pia nyumba ni ya tofali za block au za kuchoma?pia weka picha wadau waone.
 
Kiwanja kina hati na tofali ni za block na si za kuchoma,vyumba vitatu jumla kimoja ni master bedroom sebule dining room jiko choo bafu na store. Kuhusu picha ndio nafanya utaratibu wa kwenda Kigoma so ntaipiga picha then nitaiatach hapa, kwa sasa makazi yangu ni dodoma
 
Wana Jf kuna nyumba ipo Mkoa wa kigoma mjini jirani na soko la Nazareti. Nyumba ni ya block imeishaezekwa bati, milango na madirisha yameshawekwa kilichobaki ni kupiga sakafu, plasta ndani na nje pia wiring bado. Kwa yeyote anayehitaji ani PM na bei ya kuanzia ni sh mil 27.
Ndugu yangu; unfinished house; Nazareth Kigoma huwezi pata mteja kwa bei hiyo! Mimi niko Kigoma, nielekeze vizuri nikaipige picha hiyo nyumba huenda ukabahatika kupata mteja!
 
Weka picha bana biashara matangazo weka hata picha ya kikatuni kama voda basi tufike bei mtu wangu.
 
Ndugu yangu; unfinished house; Nazareth Kigoma huwezi pata mteja kwa bei hiyo! Mimi niko Kigoma, nielekeze vizuri nikaipige picha hiyo nyumba huenda ukabahatika kupata mteja!

ukiwa umesimama maeneo wanauza miwa sokoni km unatoka Fid force kuna hyo nyumba kwa mbela au ulizia kwa nurse mmoja anaitwa mama ndimuchaga anafanya kazi Ndaboine dispensary. But kuna maelewano pia
 
ukiwa umesimama maeneo wanauza miwa sokoni km unatoka Fid force kuna hyo nyumba kwa mbela au ulizia kwa nurse mmoja anaitwa mama ndimuchaga anafanya kazi Ndaboine dispensary. But kuna maelewano pia

Kay will go there later!
 
ukiwa umesimama maeneo wanauza miwa sokoni km unatoka Fid force kuna hyo nyumba kwa mbela au ulizia kwa nurse mmoja anaitwa mama ndimuchaga anafanya kazi Ndaboine dispensary. But kuna maelewano pia

Mie nipo Kigoma tangu majuzi, je ukitokea uwanja wa ndege, wanapouza miwa ni sehemu ile WANAPOUZA KITI MOTOZI!!!!
 

Mie nipo Kigoma tangu majuzi, je ukitokea uwanja wa ndege, wanapouza miwa ni sehemu ile WANAPOUZA KITI MOTOZI!!!!

ndugu huko ni mbali kdg sehem yenyewe ni jirani na soko la Nazareth mwishoni ukiwa unaenda kota za Field Force ukisimama palipo na choo cha kulipia cha soko adjacent nyumba hyo inaonekana kwa ng'ambo au ukiuliza kwa Mr or Mrs Ndimuchaga nurse anayefanya Ndaboine dispensary utakua umepapata.
 
i love the JF spirit,wakati ninawaza nikwambie nikupigie picha ili members waione kumbe kuna mwenyeji ameshajitolea kukupigia picha hiyo nyumba.
Mimi nakushauri usiuze hiyo nyumba/Aset .kama umehamishiwa dodoma kikazi usiuze.umuhimu wa kumiliki asset kama nyumba ni mkubwa sana,fanya yafuatayo utayaona matunda.
Mji wa kigoma unakua kwa kasi,Reli inahimarika,barabara inakamilishwa and Fly540 wanafungua route to kigoma mwezi july.
Register Kampuni,nenda bank kakope pesa ya kumalizia nyumba,ifanyie modification iwe Guest House ya kileo.then pesa inayotoka hapo unalipa mkopo,after few years utayaona matunda.
mimi nipo kigoma for few Days wadau nipeni Toure guide ya kigoma and good places to hangout,Friday nimeenda Lake Tanganyika Pako safi,juu kama ulaya,nimevisit baa inaitwa new faith ya Mr,Katembo wa TPA.

please recomend some good activities while i am here over the weekend
 
i love the JF spirit,wakati ninawaza nikwambie nikupigie picha ili members waione kumbe kuna mwenyeji ameshajitolea kukupigia picha hiyo nyumba.
Mimi nakushauri usiuze hiyo nyumba/Aset .kama umehamishiwa dodoma kikazi usiuze.umuhimu wa kumiliki asset kama nyumba ni mkubwa sana,fanya yafuatayo utayaona matunda.
Mji wa kigoma unakua kwa kasi,Reli inahimarika,barabara inakamilishwa and Fly540 wanafungua route to kigoma mwezi july.
Register Kampuni,nenda bank kakope pesa ya kumalizia nyumba,ifanyie modification iwe Guest House ya kileo.then pesa inayotoka hapo unalipa mkopo,after few years utayaona matunda.
mimi nipo kigoma for few Days wadau nipeni Toure guide ya kigoma and good places to hangout,Friday nimeenda Lake Tanganyika Pako safi,juu kama ulaya,nimevisit baa inaitwa new faith ya Mr,Katembo wa TPA.

please recomend some good activities while i am here over the weekend

duh ushauri wako ni mzuri sana kaka nimeshaufanyia kaz sana na nimeamua kufikia hayo maamuz magumu na si kwamba napenda. Kaka Kg hakuna kiwanja kizur km Lake Tanganyika hotel na Hilltop pengine wazinguaji tu!.
 
i love the JF spirit,wakati ninawaza nikwambie nikupigie picha ili members waione kumbe kuna mwenyeji ameshajitolea kukupigia picha hiyo nyumba.
Mimi nakushauri usiuze hiyo nyumba/Aset .kama umehamishiwa dodoma kikazi usiuze.umuhimu wa kumiliki asset kama nyumba ni mkubwa sana,fanya yafuatayo utayaona matunda.
Mji wa kigoma unakua kwa kasi,Reli inahimarika,barabara inakamilishwa and Fly540 wanafungua route to kigoma mwezi july.
Register Kampuni,nenda bank kakope pesa ya kumalizia nyumba,ifanyie modification iwe Guest House ya kileo.then pesa inayotoka hapo unalipa mkopo,after few years utayaona matunda.
mimi nipo kigoma for few Days wadau nipeni Toure guide ya kigoma and good places to hangout,Friday nimeenda Lake Tanganyika Pako safi,juu kama ulaya,nimevisit baa inaitwa new faith ya Mr,Katembo wa TPA.

please recomend some good activities while i am here over the weekend

...Kigoma nilitoka mwaka 1986 na sijarudi tena.Hayo maeneo yote unayotaja kwangu ni maruwe ruwe tu! Kiwanja pekee kikubwa cha wakati huo kilikuwa ni Railway Hotel ambayo nadhani ndio imeuzwa na kuwa hiyo Lake Tanganyika! Vipi NBC Club ipo hapo Rubengera kama unapanda kwenda Mwanga? Kigoma Club hapo mbele ya Lake Tanganyika ambapo tuliokuwa wanachama tyulikuwa tukiangalia sinema za nguvu zaidi ya zile za Kidosi tulizokuwa tukiangalia pale Ligoma Talkies karibu na ile shule ya msinga inaitwaje sijui pale stand kama unakwenda kanisa la Roma?
Hotel za Lake Tanganyika za akina Musa ile ya Mwanga na ile ya pale Kigoma mjini bado zipo? na zile za Mwanga Guest House za Mzee Said na watoto wake Zipo? aaaah, Inanikumbusha mbali sana. Those were the days.

 
...Kigoma nilitoka mwaka 1986 na sijarudi tena.Hayo maeneo yote unayotaja kwangu ni maruwe ruwe tu! Kiwanja pekee kikubwa cha wakati huo kilikuwa ni Railway Hotel ambayo nadhani ndio imeuzwa na kuwa hiyo Lake Tanganyika! Vipi NBC Club ipo hapo Rubengera kama unapanda kwenda Mwanga? Kigoma Club hapo mbele ya Lake Tanganyika ambapo tuliokuwa wanachama tyulikuwa tukiangalia sinema za nguvu zaidi ya zile za Kidosi tulizokuwa tukiangalia pale Ligoma Talkies karibu na ile shule ya msinga inaitwaje sijui pale stand kama unakwenda kanisa la Roma?
Hotel za Lake Tanganyika za akina Musa ile ya Mwanga na ile ya pale Kigoma mjini bado zipo? na zile za Mwanga Guest House za Mzee Said na watoto wake Zipo? aaaah, Inanikumbusha mbali sana. Those were the days.


hzo zote ulizotaja zipo mkuu Kg haijabadilika sana mi mwenyewe nilitoka 90s na kurudi '03 bt ckuona changes kubwa sana. KG CLUB bdo ipo NBC CLUB sina uhakika bt nahsi ilishafungwa, Railway club ndo kwishney longtime.
 
Back
Top Bottom