Nauza nyama ya nguruwe(dar)

Nauza nyama ya nguruwe(dar)

Nitakua nakuletea mkuu..fanya kilo tano

Pale ni rahisi kuchagua kwa vile wauzaji wako kama wanne tofauti . Napenda sehemu ya mbavu NA slalala ikichanganywa na ngozi yake ikiwa haina mafuta . Kilo zaidi ya nne itakuwa inabaki Mkuu . Nakula kwa kipimo .
 
Nauza fresh meat(nguruwe) kilo shilingi elfu 7,ukihitaji kwanzia kilo kumi kuendelea unaletewa ulipo,
Nyama ni nzur sana,nguruwe kutoka moshi

Wote mnakaribishwa kuweka order zenu

+255752563313
Njoo nkuzie kontena kubwa za Plastic nzuri sana kwa kuwekea nyama

Ova
 
Nauza fresh meat(nguruwe) kilo shilingi elfu 7,ukihitaji kwanzia kilo kumi kuendelea unaletewa ulipo,
Nyama ni nzur sana,nguruwe kutoka moshi

Wote mnakaribishwa kuweka order zenu

+255752563313
poa
 
Nauza fresh meat(nguruwe) kilo shilingi elfu 7,ukihitaji kwanzia kilo kumi kuendelea unaletewa ulipo,
Nyama ni nzur sana,nguruwe kutoka moshi

Wote mnakaribishwa kuweka order zenu

+255752563313


Jamani na sie tuleteeni huku Zenji.
 
Back
Top Bottom