nauza Nokia lumia 800.bei nafuu.

nauza Nokia lumia 800.bei nafuu.

Tearish

Member
Joined
Feb 23, 2013
Posts
81
Reaction score
31
Simu.nokia lumia 800
GB .16
rangi.nyeusi
Vifaa.vifaa vyote vipo
Condition.ipo ktk hali nzuri haina mikwaruzo wala tatizo lolote
Bei.3800000 maelewano yapo.
nimeitumia miezi 4
Mawasiliano.0768811075
 
Simu.nokia lumia 800
GB .16
rangi.nyeusi
Vifaa.vifaa vyote vipo
Condition.ipo ktk hali nzuri haina mikwaruzo wala tatizo lolote
Bei.{3,800,000/=} maelewano yapo.
nimeitumia miezi 4
Mawasiliano.0768811075

milioni tatu na laki nane upo serious au?
Ina kitanda?chupa ya chai?vitafunwa?lunch?dinner?juice?choo?
 
Simu.nokia lumia 800
GB .16
rangi.nyeusi
Vifaa.vifaa vyote vipo
Condition.ipo ktk hali nzuri haina mikwaruzo wala tatizo lolote
Bei.3800000 maelewano yapo.
nimeitumia miezi 4
Mawasiliano.0768811075

Mkuu bei yako mbona kubwa sana au unamaanisha 380.000, tatizo la hizo simu zinakataa M-Mpesa, Tigo pesa.
 
Simu.nokia lumia 800
GB .16
rangi.nyeusi
Vifaa.vifaa vyote vipo
Condition.ipo ktk hali nzuri haina mikwaruzo wala tatizo lolote
Bei.3800000 maelewano yapo.
nimeitumia miezi 4
Mawasiliano.0768811075
Haiwekewi vouchers????????
 
Samahani wadau bei ni laki tatu na elfu themanini.
380.000/=ni makosa ya kiuandishi tu.
Namaanisha toka ninunue nimetumia miezi 4 tu.
Ni kweli Pia simu za Nokia lumia hazikubali masuala ya pesa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom