Nauza Nano Coating Machine (mashine za kuweka protector kwenye simu)

Nauza Nano Coating Machine (mashine za kuweka protector kwenye simu)

gadsan

Member
Joined
Dec 23, 2015
Posts
18
Reaction score
8
Ni mashine zinazotumia teknolojia mpya ya kufanya kioo cha simu kiwe imara maradufu.
Mashine ziko 2 kwenye brifcase.
Ni rahisi kuzitumia
Zinaweza kukuingizia kipato zaidi yya 100,000 kwa siku
Bei ni 450,000 tu.
Contacts 0712148577
Karibuni

20191214_072707.png
 

Attachments

  • 20191214_072707.png
    20191214_072707.png
    113.8 KB · Views: 15
Km inaingiza hyo hela per day y usiitumie tu mwenyewe!
Labda yeye imeshamfanya billionaire mkuu. Ana roho nzuri sana ndo maana anaiuza ili na mwingine atajirike.

Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOTE] Mi mwenyewe nafanya kuuza mashine pia natembelea watu kuwawekea kwenye sim zao.Napige hela mkuu we endelea kujudge
 
Back
Top Bottom