Nauza nafaka kwa bei nafuu

Nauza nafaka kwa bei nafuu

Unaweza kupata zaidi ya tani 18 Kwa watu wengine wa huko Masasi?

Hizo njugu mawe na njugu tofauti yake ni nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa sasa ni ngumu kupata zaid ya Tani hizo 18 kulingana na wakati na upatikanaji wake kwa sasa Kwa huku Masasi

Njugu zipo nyigi na zipo katika makundi tofauti tofauti miongoni mwazo ni kama zifuatazo :

AINA ZA NJUGU (TYPES OF NUTS)
Njugu mawe --- Bambara nuts
Aramoni --- chestnuts
Hazeli --- hazelnut
Jozi --- walnuts
Karanga --- peanuts
Korosho --- cashewnuts
Kungu --- Indian almond
Lozi --- almond
Makadamia---macadamia
Nazi --- coconuts
Njugu ya Brazili --- Brazilnuts
Njugu ya mfune --- Beechnuts
Njugu ya mginko --- Ginkgonuts
Njugu ya mkola --- colanuts
Njugu ya msonobali --- pine nuts

Njugu mawe ni aina fulani ya njugu Kama nilivyo ainisha hapo juu
IMG_20200207_072100_186.jpeg
Aina%20za%20njugu.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom