Nauza mbwa aina ya bull dog

Nauza mbwa aina ya bull dog

Si umeshaambiwa ni BULLDOG!!?..yani hapohapo ni mbwa na n'gombe pia

Kwa hiyo kama nikimnunua jike na maziwa napata mbali na ulinzi,kweli ana haki ya kuuzwa zaidi ya laki6 kwani biashara ya maziwa itafanyika
 
watanzania tuache kufuru mbwa laki6..!??? duuuuh! anayetaka mbwa aje kwetu tabata kimanga nimpe, karibu kila mwezi wanazaaa
 
Aah sie wengine tumeshazoea wa bure bana,uswazi wanazaliana kinoma mpaka wanazagaa hovyo.
 
Huyo bulldog life span yake ikoje laki sita????labda kama hazeeki wala hafi? Na ana Warranty ya miaka mingapi?akiwa koko ,asipoperform ninavyotaka au akifa anarudishwa?
 
Mbona nijiendee kijijini nichukue mbwa wa bure na ole wako nikishamfungulia ukaribie gate. Hayo mabulldog ya laki 6 utafikiri wanatoa maziwa?
 
wadau mimi pia nauza mbwa ni wazur na wakal sana wana miez miwil bei ni elf 40,pungufu unaongea
 
 
kwa hiyo mi nikimnunua kwa bei hiyo nikitaka kumuuza rejareja(mishkaki) atafaa??? laki6 zitarudi? hasa huku iringaaa

Aah huko tena, utauza sana mkuu maana wao wenyewe huwa wanavizia wale mbwa wanaogongwa na magari usiku ndo wakauze nyama wakati wewe unachinja mwenyewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom