Wakuu,Hodi,
Nina mzigo wa mbao (reject) kiasi cha fuso moja nauza kwa anayehitaji au kama unafahamu wanunuzi tafadhali nijulishe.
Samahani kiongozi kwa mapungufu hayo,mzigo nimeununua na upo mafinga, na popote nitakapo pata mnunuzi nitapeleka kama tutakubaliana bei. Sikuweka bei kwakuwa itategemea na mnunuzi yupo pande gani za tanzania. mbao ni soft wood. size ni 1x4, 2 x 4,1x6 mchanganyiko sijazisort.Mkuu mzigo ni wako au umeambiwa tu kuna mzigo?
pnauliza hivyo maana nashundwa kujua unakimbilia wapi kuweka Tangazo linaloeleweka
Mkuu mzigo upo maeneo gani, hata kama ni Dar plz taja sehemu
una mbao za aina gani?, mninga, mkongo, cyprus, nk
nimmbao za size gan?
bei ikoje?
na mwisho weka mawasiliano yako
Samahani kiongozi kwa mapungufu hayo,mzigo nimeununua na upo mafinga, na popote nitakapo pata mnunuzi nitapeleka kama tutakubaliana bei. Sikuweka bei kwakuwa itategemea na mnunuzi yupo pande gani za tanzania. mbao ni soft wood cypress. size ni 2 x 4
ndo zimetoka kwenye mashine,ziko safi sana. Zimechanwa kwa mashine kubwa sana,kiukweli ukiziona ni zaidi ya mbao zilizochanwa kwa mkono, tunaita reject kwa sababu hazikufikia kiwango cha export requirements za wateja wetu na zina some small defects.Riject zipo kwenye hali gani vipimo vidogo au zimevunjika au za zamani sana mkuu fafanua
wakuu,hodi,
nina mzigo wa mbao (reject) kiasi cha fuso moja nauza kwa anayehitaji au kama unafahamu wanunuzi tafadhali nijulishe.
hahahaahaaa mkuu hii kitu inaitwa reject kwa sababu haiku meet specifications za export,na ni bora kuliko unazouziwa buguruni kwa futi za wizi za mchina. angalia usije ukafa na tai shingoni,mjini hapa.Cheki na mamalishe pale buguruni huwa wanazitumia kama kuni
ndo zimetoka kwenye mashine,ziko safi sana. Zimechanwa kwa mashine kubwa sana,kiukweli ukiziona ni zaidi ya mbao zilizochanwa kwa mkono, tunaita reject kwa sababu hazikufikia kiwango cha export requirements za wateja wetu na zina some small defects.