Nauza mayai ya blue

Nauza mayai ya blue

huo unaujua wewe tu sisi hatuujui sisi tunamaanisha mifugo

mayai haya wanadai ni mazuri sana kwa kweli kuna waarabu walikua wanayala loliondo yalikua yanatoka nje sio hapa hata shoprite yanauzwa ghali sana
 
Haya mayai huwa siyaelewi, Moshi maeneo ya kule marangu yapo mengi na wanauza bei ya kawaida sasa sijui ni hawajui au
 
Hayo mayai ni kizungu au kienyeji?

KIENYEJI MKUU

1539580752259.png

1539580558912.png
1539580939864.png





1539579607561.png
1539581070401.png
 

Attachments

  • 1539579577110.png
    1539579577110.png
    186.3 KB · Views: 34
  • 1539579641199.png
    1539579641199.png
    81.7 KB · Views: 37
  • 1539580770983.png
    1539580770983.png
    81.7 KB · Views: 24
  • 1539581017549.png
    1539581017549.png
    16.2 KB · Views: 24
Four Chickens That Lay Blue

1. Araucana Chickens - originated in Chile,
1539579763449.png


2. Ameraucana Chickens - American breed
1539579925026.png


3. Cream Legbar Chickens - originated in Great Britain
1539580153044.png


4. Easter Egger Chickens - a mixed-breed chicken
1539580263377.png
 
Habari wadau,wale kuku wangu wanaotaga mayai ya blue,wameanza kutaga.yai moja 2500.
Atakaye ani PM
Hilo yai la 2500 ni sawa na viagra gm 500 au ptotini ya kawaida tu? ulinipa nipo tayari niwekee trey tano za kuanzia.
 
Hata mimi ninalo moja mkuu nimelifanya kama makumbusho ya nyumbani kwangu lipo kabatini haliliwi na sijabahatika kupata jingine
 
Hawa kuku kwa hapa Bongo tutawapata sehemu gani?

KWA BONGO SIJUI ILA HUKU NILIPO NI VERY COMMON MKUU NA NDIO MAYAI NA NYAMA PENDWA.LABDA NIKUANGALIZIE JINSI YA KUKUTUMIA MATAI MAANA HUKU BEI RAHISI
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom