Gharama ya kipikia mkaa na urahisi/uharaka wa kupikaUbora upi unaozungumzia?
Gharama ya kipikia mkaa na urahisi/uharaka wa kupika
Ahsante kwa mrejehoMREJESHO: niliwasiliana na mr coolant baada ya bandiko lake. akanipa mwongozo na picha zaidi kupitia whatsap. juzi jioni nililipia (tena kwa bei punguzo) amenisafirishia kwa basi mwanza-ngara (km 400 kasoro kidogo). asubuhi ya leo jiko limemfikia mama toto japo mimi niko mkoa tofauti. ASANTE KWA UAMINIFU. nasubiri kuwaleteeni mrejaa wa ubora baada ya kulitumia.
Heshima kwenu wakuu, ninauza majiko ya kisasa kabisa ya mkaa yaliyo buniwa US kwa madhumuni ya kukupunguzia matumizi ya mkaa na kukuokolea muda wa kukaa jikoni.
Jiko hili mbali ya kukupunguzia matumizi ya mkaa kwa zaidi ya 50% pia lina sifa zifuatazo;
1. Linapata joto hadi kufikia nyuzi joto 1000 litakalo kufanya upike haraka kwa kutumia mkaa kidogo.
2. Limetengenezwa na chuma imara (high-chromium laced grate) kinacho himili joto na kina matundu madogo madogo yatakayo kuwezesha kutumia hadi chenga chenga za mkaa.
3. Ceramic fiber insulation, hii inasaidia kutunza joto kali lililopo ndani ya jiko lisitoke nje ya jiko.
4. Easy ash-tray, hili ni sinia la kutunzia majivu na ku control joto. Kupitia kisinia hiki, jiko lako litabakia kua safi na unapopikia pia patabaki kua safi.
5. Jiko lina warranty ya mwaka mmja, ikitokea limeharibika utatengenezewa bure kabisa.....niamini mimi!!!
Bei ya jiko moja ni 110,000/= (laki moja na elfu kumi tu). Ukihitaji kuanzia majiko 10 nitakuuzia kwa bei ya jumla. Nakuletea popote ulipo Tanzania, usafiri juu yangu.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mkuu bado unafanya hii biashara? Nahitaji majiko mawili Mbeya.Heshima kwenu wakuu, ninauza majiko ya kisasa kabisa ya mkaa yaliyo buniwa US kwa madhumuni ya kukupunguzia matumizi ya mkaa na kukuokolea muda wa kukaa jikoni.
Jiko hili mbali ya kukupunguzia matumizi ya mkaa kwa zaidi ya 50% pia lina sifa zifuatazo;
1. Linapata joto hadi kufikia nyuzi joto 1000 litakalo kufanya upike haraka kwa kutumia mkaa kidogo.
2. Limetengenezwa na chuma imara (high-chromium laced grate) kinacho himili joto na kina matundu madogo madogo yatakayo kuwezesha kutumia hadi chenga chenga za mkaa.
3. Ceramic fiber insulation, hii inasaidia kutunza joto kali lililopo ndani ya jiko lisitoke nje ya jiko.
4. Easy ash-tray, hili ni sinia la kutunzia majivu na ku control joto. Kupitia kisinia hiki, jiko lako litabakia kua safi na unapopikia pia patabaki kua safi.
5. Jiko lina warranty ya mwaka mmja, ikitokea limeharibika utatengenezewa bure kabisa.....niamini mimi!!!
Bei ya jiko moja ni 110,000/= (laki moja na elfu kumi tu). Ukihitaji kuanzia majiko 10 nitakuuzia kwa bei ya jumla. Nakuletea popote ulipo Tanzania, usafiri juu yangu.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Haya majiko bado yapo?Heshima kwenu wakuu, ninauza majiko ya kisasa kabisa ya mkaa yaliyo buniwa US kwa madhumuni ya kukupunguzia matumizi ya mkaa na kukuokolea muda wa kukaa jikoni.
Jiko hili mbali ya kukupunguzia matumizi ya mkaa kwa zaidi ya 50% pia lina sifa zifuatazo;
1. Linapata joto hadi kufikia nyuzi joto 1000 litakalo kufanya upike haraka kwa kutumia mkaa kidogo.
2. Limetengenezwa na chuma imara (high-chromium laced grate) kinacho himili joto na kina matundu madogo madogo yatakayo kuwezesha kutumia hadi chenga chenga za mkaa.
3. Ceramic fiber insulation, hii inasaidia kutunza joto kali lililopo ndani ya jiko lisitoke nje ya jiko.
4. Easy ash-tray, hili ni sinia la kutunzia majivu na ku control joto. Kupitia kisinia hiki, jiko lako litabakia kua safi na unapopikia pia patabaki kua safi.
5. Jiko lina warranty ya mwaka mmja, ikitokea limeharibika utatengenezewa bure kabisa.....niamini mimi!!!
Bei ya jiko moja ni 110,000/= (laki moja na elfu kumi tu). Ukihitaji kuanzia majiko 10 nitakuuzia kwa bei ya jumla. Nakuletea popote ulipo Tanzania, usafiri juu yangu.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Ni wk 2 tangu nimenunua Jiko hili japo si kwa coolant, kwa muda huu mchache nimejikuta nimepunguza matumizi ya gesi kwa 75-80%. Sijajuta kununua Jiko jilo ingawa nilinunua kwa bei kubwa japo kwa mkopo. Ni zuri Sana. Mkaa nlokuwa nao ulipaswa kuwa umeisha ndani ya wk 2 tangu nimenunua Jiko hilo Kama ningeendelea kutumiae Jiko la awali. Nilipika wali kwa sufuria la Lita 5, uliiva. Nilichemsha maji kiasi cha takriban lita 8-9 yalichemka(100C)
Sijutii kuwa na Jiko hili japo nilinunua kwa mkopo shs 160,000
Kama wataka gunia lako la mkaa likae kwa muda mrefu, usione uchungu au kuhisi unatapeliwa. Mie nipo Mbeya
Mkuu za masiku , tafadhali ni muda sasa tunasubiria mrejesho nasi tuweze kufanya maamuzi sahihiMREJESHO: niliwasiliana na mr coolant baada ya bandiko lake. akanipa mwongozo na picha zaidi kupitia whatsap. juzi jioni nililipia (tena kwa bei punguzo) amenisafirishia kwa basi mwanza-ngara (km 400 kasoro kidogo). asubuhi ya leo jiko limemfikia mama toto japo mimi niko mkoa tofauti. ASANTE KWA UAMINIFU. nasubiri kuwaleteeni mrejaa wa ubora baada ya kulitumia.