Nauza majiko Sanifu ya mkaa

Nauza majiko Sanifu ya mkaa

Gharama itakua hiyo hiyo? Je utaratibu wa kulipa ukoje maana upo mbali namimi nipo mbali na ela hazimuamini mtu

Gharama haiongezeki, kama una mashaka unaweza kulipia nusu then ukipokea Jiko lako utamalizia nusu iliyobaki
 
Nipo mbeya nalitaka ila mwisho wa mwezi aisee sema lipo bei kushinda la gas anyway sifa zake ni nzuri

Nitumie namba mkuu, nitakutumia jiko kwa gharama yangu
 
Kwa yoyote aliopo dar na anaihitaji jiko naomba anipe location nimletee kwa kesho, namba yangu ni 0683164636
 
Back
Top Bottom