Nauza line ya TTCL ikiwa na muda wa maongezi

Nauza line ya TTCL ikiwa na muda wa maongezi

Tumbili

Member
Joined
Oct 4, 2011
Posts
52
Reaction score
56
Hi wana JF, ninayo laini ya TTCL niliyoisajili kwa jina langu na niliwahi tunza muda wa maongezi mwingi sana zaidi ya shilingi milioni moja. Nimeamua kuuza laini ya simu ikiwa na muda wake wa maongezi au kumuuzia mtu muda wa maongezi kwa bei ya jumla kadri atakavyotaka. Nauza kwa punguzo la asilimia 15%. Ukinunua muda wa laki 1 nitakuuzia kwa elfu 85.

Watu serious tuwasiliane kwa namba 0625 616851.
 
Au wewe unafanya kazi TTCL unapewa free airtime na ww unataka uuze hapa JF upate grisi,funguka tuelewe zaidi.
Nakushauri fanya 30-50% off.
Si unajua vyuma vimebana kwa watz wengi!?)
Kila la heri!
 
Back
Top Bottom