Nauza LG flat screen

Matusi yanini mkuu?.kwenye uzi wa ULIANZAJE KUKAA GETTO ulikuja na story yako ya kuwa now unamiliki kiwanja, nyumba unaimalizia, biashara nyingi, gari 3......Getto lako haliendani na story uliyotupa..hadi king'amuzi umeshindwa lipia...Hahahahaha..itunze nakuja kuinunua hiyo TV.
eh heeeeee member jerrybanks zle gari zako 3 ziko wapi au ndio hizi hapa kwa fundi sele nini? halafu mafundi saiti wanasema simenti zimeisha na nondo zimeisha pia wanakupigia hupatikani.
 
Mkuu unaitambuaje og na fake?
👇
simple trick ambayo unaweza kutumia kwa kifaa chochote hata kama si tv,andika zile imei namba za kifaa chako kisha search google angalia results zitakazokuja,kama ukiandika imei za tv sony 32inch pcha itakuja ya hyo tv jina mpk na website yao.

ukiandika imei google kisha majibu yakaja tofauti na kifaa chako hapo jua unakaribia kununua mbuzi kwenye gunia kama ndugu yetu mwenye hii thread,kamata tu hilo kwasasa.
 
Ukiachana na majibishano yenu ambayo hayanihusu ila ukweli ni kuwa hiyo ni Lg fake
Mhusika tafuta og uone nembo yake inakaa wap then utaelewa kuwa yako ni fake
 
eh heeeeee member jerrybanks zle gari zako 3 ziko wapi au ndio hizi hapa kwa fundi sele nini? halafu mafundi saiti wanasema simenti zimeisha na nondo zimeisha pia wanakupigia hupatikani.
unafikiria maisha yngu ni kama yako kudandia dandia ya watu? still now najiuliza hvi kweli watu kama wewe wapo
 
Matusi yanini mkuu?.kwenye uzi wa ULIANZAJE KUKAA GETTO ulikuja na story yako ya kuwa now unamiliki kiwanja, nyumba unaimalizia, biashara nyingi, gari 3......Getto lako haliendani na story uliyotupa..hadi king'amuzi umeshindwa lipia...Hahahahaha..itunze nakuja kuinunua hiyo TV.
namba hzo njoo utapata majibu yote
ili uende kuhadithia ulichokiona
 
Mkuu unaitambuaje og na fake?
kingine ukiondoa trick niliyokwambia penda kuangalia LOGO ya kifaa unachonunua,mara nyingi sana kwa zaidi ya asilimia 90 logo za tv au vitu feki huchorwa kwa nnje ya body/cover/housing ya hicho kifaa unaweza ukachukua kiwembe ukaenda ukakwangua au kama ni ya kubandika kama ilivyokua tv ya mwenye hii thread unaweza kuibandua tu ikatoka.

TV/kifaa original LOGO yake huwezi itoa si ya kubandika inakua ndani ya body/housing haichorwi juu juu tu useme utaifuta kwa kuikwangua ndio mana ukienda hata kwenye maskrepa ya tv au electronics things utaona Logo za kila tv zipo huwa hazipotei wala hazifutiki,LOGO ni nembo ambayo ni jambo la kwanza kufikiriwa na hawa watengenezaji vitu OG kwahyo hufanya kila namna kuweka uimara wa LOGO yao isipoteee,Hata kama wameichora wataichora kwa wino usiofutika utaona kama maandishi ila hayafutiki hata yakae miaka 1000.

Angalia ukaaji wa LOGO ni muhimu,kamata hilo kwa sasa.
 
Ukiachana na majibishano yenu ambayo hayanihusu ila ukweli ni kuwa hiyo ni Lg fake
Mhusika tafuta og uone nembo yake inakaa wap then utaelewa kuwa yako ni fake
sasa kutana na wanaojua tv wajanja wa mji halafu jilinganishe na wewe unaesema kutoka hapo ulipo kuja hapa k.koo unatumia dk 10 tu jerrybanks yani upo pua na mdomo na k.koo lakini unauziwa hiyo tv na wewe bila aibu eti unaandika bei 300kFIXED yani uko siriazi hiyo 300k ni fixed kweli jerriiii babaaaangu kweli whooooooweei
 
hiyo ni copy LG ambayo bei ya jumla kariakoo kuanzia 10pieces ni 150k,bei ya kununua dukani mpya ni 280-250 unapata mpya ndani ya box lake.

wewe unauza 300k bei sio rafiki kwa aina ya tv unayouza,atleast uwe muungwana bei yako uza 200k mkuu.
Umeharibu Kila Kitu 😁😂😀😄😄😏😏
 
Matusi yanini mkuu?.kwenye uzi wa ULIANZAJE KUKAA GETTO ulikuja na story yako ya kuwa now unamiliki kiwanja, nyumba unaimalizia, biashara nyingi, gari 3......Getto lako haliendani na story uliyotupa..hadi king'amuzi umeshindwa lipia...Hahahahaha..itunze nakuja kuinunua hiyo TV.
Wewe achana na huyu mwamba. Mbona tangu kitambo anajulikana ana fix za kufa mtu. Bahati mbaya hii ID ndiyo anatumia kwenye biashara zake ila kwa wazoefu tunajua ni mpiga kamba maarufu.
 
Mkuu SEASON 5
Nakuelewa Vema, Nina Television Samsung
Hapo Kwenye Body Logo Bhalaa Huwezi Kupafuta Ni Shida
 
Wewe achana na huyu mwamba. Mbona tangu kitambo anajulikana ana fix za kufa mtu. Bahati mbaya hii ID ndiyo anatumia kwenye biashara zake ila kwa wazoefu tunajua ni mpiga kamba maarufu.
kumbe ni mzee wa fix halafu ameshaanza kutaka kuruka kuwa hilo sio geto lake,dalili tu zimeonyesha. 🤣
 
Mkuu SEASON 5
Nakuelewa Vema, Nina Television Samsung
Hapo Kwenye Body Logo Bhalaa Huwezi Kupafuta Ni Shida
tv/kifaa original kitachakaa mpaka kitaisha kbsa lakini LOGO haifutiiki haibanduki haipotei
 
sikuelekezi mkuu unaweza ukapotea ukasema nimekuingiza choo cha wanajeshi ukanilaumu,nakupenda sana ndugu yangu naomba chukua hizi namba ukifika k.koo piga 0655-746693 duka lipo mtaa wa aggrey barabarani ilipo benki ya posta.

baada ya benki ya posta tu duka la kwanza mkono wako wa kulia kama unaelekea china plaza,ingia duka hilo hilo usiulize kitu piga hiyo namba ukiwa ndani ya hilo duka utaona ataepokea kisha muonyeshe hii comment unayoisoma hapa,usiongee mara mbili.

sio LG tu kuna Hisence,star x,maisha,sony na tv nyingine nyingi tu mkuu,nadhani ukifika dukani utaona zaidi kwa macho yako kuliko haya maelezo ninayotoa hapa.
Nimeipenda hii , nami nitaenda kujionea
 
Tv copy zipo nyingi.

Bwana Jery wewe Ni dalali wa siku nyingi.

Yakupasa uwe mkweli, sio kuendekeza ujanja ujanja wakati tv ni copy hata aijifichi.

Wee mwnyw Unajua hili, nafsi inakusuta apo ulipo.

Ukiendelea hivi,

WATU watakukimbia Hadi kule kwny udalali wako wa magari.

UAMINIFU NI MTAJI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tv copy zipo nyingi.

Bwana Jery wewe Ni dalali wa siku nyingi.

Yakupasa uwe mkweli, sio kuendekeza ujanja ujanja wakati tv ni copy hata aijifichi.

Wee mwnyw Unajua hili, nafsi inakusuta apo ulipo.

Ukiendelea hivi,

WATU watakukimbia Hadi kule kwny udalali wako wa magari.

UAMINIFU NI MTAJI

Sent using Jamii Forums mobile app
kwa maana ntauza gari feki ama acha kuingia kwenye mkumbo kwani mtoto akijichanganya kwenye ujinga tunasemaga anakuwa ila akifanya mtu mzma jamii humshangaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom