if cap fits
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 1,477
- 2,085
- Thread starter
- #61
Oook one love mkuu!Pamoja mkuu, tusifike mbali zaid, let us have a respect to our parents.
Oook one love mkuu!Pamoja mkuu, tusifike mbali zaid, let us have a respect to our parents.
Nitakuja pmMimi nataka uniuzie hilo ghorofa hapo kwenye tv
Mkuu Kama bado vpo tv kula 300 na cm kula 200. Tufanye Biasharakwa anaehitaj,ninauza led tv aina ya aborder 32 ,ni full hd ina kioo cha protector ipo na hali nzuri sana kwani ninaitumia mwenyewe,pia nina simu aina ya Tecno Camon X ni mpya na ni nzuri kwa anae fuatilia simu anazijua.nina list zake zote kwa anae hitaji tuwasiliane 0678458422.bei maelewano.
Kama sio mfanyabiashara basi ungeigawa bure ,kitendo cha kuuza au kununua hiyo ndio biashara yenyewe....mimi siyo mfanya biashara,na ninauza kwa sababu zilizo nije ya uwezo wangu,hivyo mwenyehitaji nimesema anicheki na wala sihitaji coment zisizo na ulazima kama ningekuwa mfanya biashara ningeandaa mazingira ya kibiashara zaidi ,kama hamna mwenye uhitaji si kesi pia.mana maduka watu munayajua