Nauza laini ya tigo pesa.

Nauza laini ya tigo pesa.

Baby wa kitaa biashara imenishinda!kukaa kibandani kusubiri wateja ambao hata sijui watakuja au la imekuwa ngumu!nauza line yangu ya TIGO PESA bei lakin nane tu!changamkieni basi mwenzenu nimechoka na biashara!

Mkuu laki nane hutapata mteja, najua utachukia kauli yangu ila huo ndo ukweli
 
Baby wa kitaa biashara imenishinda!kukaa kibandani kusubiri wateja ambao hata sijui watakuja au la imekuwa ngumu!nauza line yangu ya TIGO PESA bei lakin nane tu!changamkieni basi mwenzenu nimechoka na biashara!

laki nane? Mwenye uhitaji wa line ya tgo pesa kwa 450k pm then apate line
 
Back
Top Bottom