Dah...hatareeee.. . Bei ya kuuza kuni unataja wewe.... Bei ya kununua Matofari unataja wewe....Nina kuni nauza zipo Ununio kirikuu nne zinajaa, laki mbili.
Pia kama unauza tofali ninahitaji elf 2000 kesho, bei yangu mia saba.
Hili tangazo mwisho saa nne kesho.
Karibuni sana
Dah.... Ukikohoa tu ukuta unapata UfaUsikariori ndugu.... tofali za 700 DSM zipo kibao....