Simon_mt
Member
- Nov 8, 2017
- 8
- 2
- Thread starter
- #21
Come on kaka customer skills za mtu ambaye sio mtaarabu,wawe na heshima na kwa mtu anaeona nakosea atakuwa sio mwelewa...yeye kaona kuku bei hiyo ila kasema makusudi kunikatisha tamaa akihisi kuwa mimi sijui kitu nitashusha tu bei then atanitafuta now hilo umeliona?na nimemjibu accordingly kuwa biashara yangu ipoje so ajue na sio risk cse hawezi jua nauzia kina nani ila kama ukiongea ukaweka kauli sio na mm nitakujibu ipasavyo...ila ukiwa mstaarabu na mm nitakuwa hivyo,why sasa nijibu vibaya wakati hii ni biasharaImprove customer care skills, kuwa tayari kudeal na watu wa aina tofauti bila kuchafua image yako kwenye biashara.