Nauza kuku wa kienyeji.

GHANI

JF-Expert Member
Feb 18, 2011
716
292
Nina kuku wa kienyeji wazuri bei ni nzuri, nipo moshi, tunaweza kuwasiliana kwa 0716512935.
 
Hao kuku bei gani mkuu? Je, hawanaja- cross na wale wa kidhungu?
Vipi kwa mteja aliyeko dar?
 
Mimi ninao kumi wa kienyeji pure hapa Kinondoni, kwa aliye dar ani-pm. Bei nzuri sana.
 
Hapo ndipo huwa nawakubali jamaa zangu wa Moshi. Fanyeni vyooote ila akipata nafasi asahau biashara yake....mkuu nimekupata nitakutafuta!
 
Tafadhari nauza kuku wa kienyeji kwa jumla,wana kilo, 1.2, kg 1.3kg,1.4 au zaidi kg.naweza supply hata zaidi ya 700. per wiki. mie nipo morogoro vijijini karibu na dakawa. bei ni kuanzia 12,13,14.baada ya wiki nasupply kwani nipo vijijini. nataka kuwauza hawa nifuge chotara.anayetaka call me via, 0714004426,
 
Tafadhari nauza kuku wa kienyeji kwa jumla,wana kilo, 1.2, kg 1.3kg,1.4 au zaidi kg.naweza supply hata zaidi ya 700. per wiki. mie nipo morogoro vijijini karibu na dakawa. bei ni kuanzia 12,13,14.baada ya wiki nasupply kwani nipo vijijini. nataka kuwauza hawa nifuge chotara.anayetaka call me via, 0714004426,

bei ya jumla kuku wa kilo 1.4 inaanzia 12???, kubwa mno, singida hapo elfu 6 tu!.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom