Moshi sehemu gani? Na je kuku hao ni chotara au wa kienyeji pure?Nina kuku wa kienyeji wazuri bei ni nzuri, nipo moshi, tunaweza kuwasiliana kwa 0716512935.
Moshi sehemu gani? Na je kuku hao ni chotara au wa kienyeji pure?
Mimi ninao kumi wa kienyeji pure hapa Kinondoni, kwa aliye dar ani-pm. Bei nzuri sana.
mkuu nipo dar na niliitaji wa kufugaMimi ninao kumi wa kienyeji pure hapa Kinondoni, kwa aliye dar ani-pm. Bei nzuri sana.
Hapo ndipo huwa nawakubali jamaa zangu wa Moshi. Fanyeni vyooote ila akipata nafasi asahau biashara yake....mkuu nimekupata nitakutafuta!
huyo wa dar aseme anauza shilingi ngapi na yuipo wapi mimi nahitaji pia
hahahaa, Husninyo kwani hujui kuku wakoje?Hebu tuwekee na picha ya hao kuku tuwaone.
hahahaa, Husninyo kwani hujui kuku wakoje?
Tafadhari nauza kuku wa kienyeji kwa jumla,wana kilo, 1.2, kg 1.3kg,1.4 au zaidi kg.naweza supply hata zaidi ya 700. per wiki. mie nipo morogoro vijijini karibu na dakawa. bei ni kuanzia 12,13,14.baada ya wiki nasupply kwani nipo vijijini. nataka kuwauza hawa nifuge chotara.anayetaka call me via, 0714004426,
Hapo utauziwa Picha, maana naweza kupiga hata Kuku wa Jirani!!nataka kuthaminisha afya zao na shepu. Ha ha ha!
Hapo utauziwa Picha, maana naweza kupiga hata Kuku wa Jirani!!
umenichekesha jamani. Akapige picha kuku wa watu? Akibambwa atasemaje?