Dr mwanao yupo darasa au form gani. Je mwaka huu ukiuza na akawa mwakani bado anaendelea je utauza pengine. Ushauri wa kawaida kama mtoto yupo Shule ya gharama kubwa mhamishie Shule inayofanana uchumi na mazingira yakoHabari wana Jf.
Bei ni 2.7mil maelewano yapo.
Ukubwa ni mita15*15.
Kilomita moja kutoka barabara ya lami ya Chanika(Kwa wenyeji wa Chanika ni jirani na pale kwa Mzelu(Chabupu) kwa miguu ni mwendo wa dakika 15 tu kwa wastani).
Huduma mhimu kama barabara na umeme vyote vipo.
Mteja unaruhusiwa kulipa kwa awamu mbili hadi tatu kulingana na makubaliano.
Karibuni,kuhusu mawasiliano tuwasiliane PM.
Kwenye picha eneo lenye majani ndio kiwanja chenyewe kinachouzwa.
Tusaidiane wanajamii,maji yamefika shingoni.
Matatizo ya pesa ni kipindi hiki natumaini mambo yatakuwa mazuri siku za usoni?Dr mwanao yupo darasa au form gani. Je mwaka huu ukiuza na akawa mwakani bado anaendelea je utauza pengine. Ushauri wa kawaida kama mtoto yupo Shule ya gharama kubwa mhamishie Shule inayofanana uchumi na mazingira yako
Dr mwanao yupo darasa au form gani. Je mwaka huu ukiuza na akawa mwakani bado anaendelea je utauza pengine. Ushauri wa kawaida kama mtoto yupo Shule ya gharama kubwa mhamishie Shule inayofanana uchumi na mazingira yako[/QUOT
Shule za kata ni div. zero live! Unafanyaje? Malezi hovyo-uvutaji bangi ,etc etc, etc
Wee ndio unawashwa.. Unauza ati kiwanja hicho kiwanja hicho cha kujenga nini banda la mbwa??? Yaani wakiitwa wenye viwanja na wewe unaenda? Peleka sant kayumba kama huna hela unalazimisha wakati uwezo hunaUlitaka nidanganye kwa kuandika miguu 20 kwa 20 ili ufurahi,mimi nimepima kwa mita sio miguu.
Pia ungepita kimya kimya na kusubiri vikubwa au unawashwa.
Bila shaka wewe mgeni hapa Dar na hujui kuwa nyumba zimejengwa kwenye viwanja vya mita hizi.Wee ndio unawashwa.. Unauza ati kiwanja hicho kiwanja hicho cha kujenga nini banda la mbwa??? Yaani wakiitwa wenye viwanja na wewe unaenda? Peleka sant kayumba kama huna hela unalazimisha wakati uwezo huna
Unaishi wapi wewe,mbona kwa Dar kawaida tu,tena wanapenda kutaja eti nauza kiwanja miguu 20 kwa 20 na unananua unajenga nyumba,ukipima kwa mita unapata 15 kwa 15.Katika Kutakangaza Ungesema nina Kipande nauza,Ujue ukisema Kiwanja halafu ni 15*15(m2) ujue unachekesha watu walionuna.
Kweli mkuu yaani kwa Dar kawaida sana,ila wanapouziwa wanaambiwa ni miguu 20 kwa 20 wakati ukipima kwa mita ni 15 kwa 15.Humu kuna watu wanan dharau na majigambo sana, hivi kweli 15 by 15 sio kiwanja?