Nauza kiwanja kipo Chanika bei nafuu,nahitaji pesa ya ada tusaidiane wana jamii.

Madihani

JF-Expert Member
Apr 30, 2015
5,956
6,551
Habari wana Jf.

Bei ni 2.7mil maelewano yapo.
Ukubwa ni mita15*15.

Kilomita moja kutoka barabara ya lami ya Chanika(Kwa wenyeji wa Chanika ni jirani na pale kwa Mzelu(Chabupu) kwa miguu ni mwendo wa dakika 15 tu kwa wastani).

Huduma mhimu kama barabara na umeme vyote vipo.

Mteja unaruhusiwa kulipa kwa awamu mbili hadi tatu kulingana na makubaliano.

Karibuni,kuhusu mawasiliano tuwasiliane PM.

Kwenye picha eneo lenye majani ndio kiwanja chenyewe kinachouzwa.

Tusaidiane wanajamii,maji yamefika shingoni.

fff5566cb52b90d7816caa4b917541ca.jpg
9249e0ce0a0b3b1759e1788f3cddd078.jpg
151714dc28eff252a12ada5ef40ce988.jpg
84221241028b9e27b5954f5990148ab4.jpg
3b47078b343bee6e89406cabca12ea2a.jpg
1469cdf1fe7735671426357282388afa.jpg
dd7b8255919199a0e08812d46422a40a.jpg
 
Habari wana Jf.

Bei ni 2.7mil maelewano yapo.
Ukubwa ni mita15*15.

Kilomita moja kutoka barabara ya lami ya Chanika(Kwa wenyeji wa Chanika ni jirani na pale kwa Mzelu(Chabupu) kwa miguu ni mwendo wa dakika 15 tu kwa wastani).

Huduma mhimu kama barabara na umeme vyote vipo.

Mteja unaruhusiwa kulipa kwa awamu mbili hadi tatu kulingana na makubaliano.

Karibuni,kuhusu mawasiliano tuwasiliane PM.

Kwenye picha eneo lenye majani ndio kiwanja chenyewe kinachouzwa.

Tusaidiane wanajamii,maji yamefika shingoni.

fff5566cb52b90d7816caa4b917541ca.jpg
9249e0ce0a0b3b1759e1788f3cddd078.jpg
151714dc28eff252a12ada5ef40ce988.jpg
84221241028b9e27b5954f5990148ab4.jpg
3b47078b343bee6e89406cabca12ea2a.jpg
1469cdf1fe7735671426357282388afa.jpg
dd7b8255919199a0e08812d46422a40a.jpg
Dr mwanao yupo darasa au form gani. Je mwaka huu ukiuza na akawa mwakani bado anaendelea je utauza pengine. Ushauri wa kawaida kama mtoto yupo Shule ya gharama kubwa mhamishie Shule inayofanana uchumi na mazingira yako
 
Dr mwanao yupo darasa au form gani. Je mwaka huu ukiuza na akawa mwakani bado anaendelea je utauza pengine. Ushauri wa kawaida kama mtoto yupo Shule ya gharama kubwa mhamishie Shule inayofanana uchumi na mazingira yako
Matatizo ya pesa ni kipindi hiki natumaini mambo yatakuwa mazuri siku za usoni?
 
Dr mwanao yupo darasa au form gani. Je mwaka huu ukiuza na akawa mwakani bado anaendelea je utauza pengine. Ushauri wa kawaida kama mtoto yupo Shule ya gharama kubwa mhamishie Shule inayofanana uchumi na mazingira yako[/QUOT
Shule za kata ni div. zero live! Unafanyaje? Malezi hovyo-uvutaji bangi ,etc etc, etc
 
Hadi afike chuo utakuwa umeuza hadi ile bidhaa pendwa kwa makanjibahi
Kwahio unafikiri kila mwaka nitakuwa kwenye hali kama hii,kipindi hiki ni bahati mbaya.

Pia ni kawaida tu kuishiwa pesa.
 
Ulitaka nidanganye kwa kuandika miguu 20 kwa 20 ili ufurahi,mimi nimepima kwa mita sio miguu.

Pia ungepita kimya kimya na kusubiri vikubwa au unawashwa.
Wee ndio unawashwa.. Unauza ati kiwanja hicho kiwanja hicho cha kujenga nini banda la mbwa??? Yaani wakiitwa wenye viwanja na wewe unaenda? Peleka sant kayumba kama huna hela unalazimisha wakati uwezo huna
 
Katika Kutakangaza Ungesema nina Kipande nauza,Ujue ukisema Kiwanja halafu ni 15*15(m2) ujue unachekesha watu walionuna.
 
Wee ndio unawashwa.. Unauza ati kiwanja hicho kiwanja hicho cha kujenga nini banda la mbwa??? Yaani wakiitwa wenye viwanja na wewe unaenda? Peleka sant kayumba kama huna hela unalazimisha wakati uwezo huna
Bila shaka wewe mgeni hapa Dar na hujui kuwa nyumba zimejengwa kwenye viwanja vya mita hizi.

Tafuta tape upime mita 15 uone pana ukubwa gani?

Naona unanitafuta ustarabu ni kitu cha bure,usionyeshe matatizo yako ya akili hapa.

Wewe hunijui mimi ni nani na kwa nini nimeamua kuuza kiwanja,hebu pita mbali kanunue hivyo vikubwa.
 
Katika Kutakangaza Ungesema nina Kipande nauza,Ujue ukisema Kiwanja halafu ni 15*15(m2) ujue unachekesha watu walionuna.
Unaishi wapi wewe,mbona kwa Dar kawaida tu,tena wanapenda kutaja eti nauza kiwanja miguu 20 kwa 20 na unananua unajenga nyumba,ukipima kwa mita unapata 15 kwa 15.

Watu mnawashwa kwani lazima uandike.
 
Humu kuna watu wanan dharau na majigambo sana, hivi kweli 15 by 15 sio kiwanja?
Kweli mkuu yaani kwa Dar kawaida sana,ila wanapouziwa wanaambiwa ni miguu 20 kwa 20 wakati ukipima kwa mita ni 15 kwa 15.

Tena panajengwa nyumba kubwa tu,lengo ni kunikwaza hakuna jipya.
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom