Nauza kiwanja chenye hati miliki

Nauza kiwanja chenye hati miliki

Taratibu tutafika tuu toka 70mn now 48mn. Good lets go man i may buy it.
 
Wakuu pia anayehitaji viwanja goba kwa bei tofauti kulingana na ukubwa, kuanzia 800 sq m2 hadi 2,800 sq m2. Viwanja vipo karibu na njia panda ya barabara inayotoka masana hosp kwenda mbezi na barabara ya kwenda kiwandani wazo.

Bei inaanzia mil 15 hadi mil 48

viwanja vipo kwenye process ya mwisho kupata offer wizara ya ardhi ni vizuri na vikubwa sana, barabara ni pana za kutosha

eneo linaonekana kwenye ramani kuwa ni eneo la makazi ya watu

kwa maelezo zaidi aliye serius please ni pm
 
Mkuu umeisha uza? Unasema dalali hatakiwa, watu wanakuleteaje wateja upate pesa watoke patupu? Mimi ninao wateja.
 
Mkuu umeisha uza? Unasema
dalali hatakiwa, watu wanakuleteaje wateja upate pesa watoke patupu?
Mimi ninao wateja.

Kwanini uzungumze sana mkuu, kwani wengine hatuna wateja pia, usiingilie biashara za watu?
Inawezekana huyu jamaa yuko well connected na ana uhakika na kile anachokifanya ndio maana akasema "hahitaji dalali hata kidogo".
Kuuza atauza tu, si unaona anavyoshuka? Akifika kwenye viwango vya kidemokrasia wanavyoweza kuafford walio wengi, kitanunuliwa tu!
 
Wakuu pia anayehitaji viwanja goba kwa bei tofauti kulingana na ukubwa, kuanzia 800 sq m2 hadi 2,800 sq m2. Viwanja vipo karibu na njia panda ya barabara inayotoka masana hosp kwenda mbezi na barabara ya kwenda kiwandani wazo.

Bei inaanzia mil 15 hadi mil 48

viwanja vipo kwenye process ya mwisho kupata offer wizara ya ardhi ni vizuri na vikubwa sana, barabara ni pana za kutosha

eneo linaonekana kwenye ramani kuwa ni eneo la makazi ya watu

kwa maelezo zaidi aliye serius please ni pm
Anzisha uzi wako ujitangaze sio kwenye uzi wa mwenzio.
 
kipo st.joseph (goba kunguru) kina nyumba ya
kurekebisha ina umeme na eneo lakutosha!
hakina hati doc muhimu za makabidhiano na
serikali ya mtaa zipo! ukubwa wa eneo 20 * 25!
serious buyer ni pm!
 
Karibuni sana kwa aliye serious nimeshusha bei pia maelewano yanawezekana.
 
Wakuu pia anayehitaji viwanja goba kwa bei tofauti kulingana na ukubwa, kuanzia 800 sq m2 hadi 2,800 sq m2. Viwanja vipo karibu na njia panda ya barabara inayotoka masana hosp kwenda mbezi na barabara ya kwenda kiwandani wazo.

Bei inaanzia mil 15 hadi mil 48

viwanja vipo kwenye process ya mwisho kupata offer wizara ya ardhi ni vizuri na vikubwa sana, barabara ni pana za kutosha

eneo linaonekana kwenye ramani kuwa ni eneo la makazi ya watu

kwa maelezo zaidi aliye serius please ni pm

Weka namba mkuu..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom