Huu ni utapeli Goba mil 70!!!!! Tsh au???
Ameshafanya editing ya uzi wake ni 60mil.tumsubir mpaka afkie 10mil.
Sure mkuu hivi vingine vinakwaza sana, hv kweli Goba kwa kuuza sq moja 100,000 kumekuwa Manhattan? Kuna nn cha mno huko?
Hakuna cha utapeli hapa ni negotiation tu pia cerrency ni shilling, kwani wewe ulifikiri ni USD???
Mkuu wewe naona nia yako ni kuharibu tu. Lkn Poa kwa ushauri wako.Huwezi kuuza un planned land tena Goba kwa mil 70!!! hutauza hata ingalikua na tittle manake land Value ya Goba sio hiyo kaka wasikudanganye kama una nia ya kuuza anzia mil 10 lakini kama ni matangazo na kukitembeza kiwanja weka 70m!!
Itabidi tubadilishe nguvu ya hela yetu.
Sure mkuu hivi vingine vinakwaza sana, hv kweli Goba kwa kuuza sq moja 100,000 kumekuwa Manhattan? Kuna nn cha mno huko?
Ni upuuzi tu hata Manhatan hakuna bei za kipuuzi kama hizo
Nakubaliana na wewe mkuu. Tatizo wengine hawajui Goba iko wapi.Goba ni pazuri sana aisee, upajui tu. Ipo juu that why hewa yake ipo safi sana. Ina njia nne, ya kwenda makongo juu, mbezi mwisho, tegeta na mbezi beach. Watu wamejenga sana kwa sasa
Mkuu hakijafka milion 10 bado??
Bado mkuu hiyo nitakuwa nauza bei ya hasara ukizingatia ilinichukua mda mrefu sana kupata hati. 48m kama unaweza
Ukifika 10ml niPM