Nauza kiwanja chenye hati miliki

Nauza kiwanja chenye hati miliki

BUKONGO

Senior Member
Joined
Feb 26, 2014
Posts
169
Reaction score
17
Habari ya kazi waungwana, Nina kiwanja changu kilichopo Goba Mtambani kimepimwa na kina hati miliki, kina ukubwa wa 756 sq m2 Kipo karibu na Barabara yaani Goba Center, Umeme upo Jirani hakuna gharama zaidi za kuvuta umeme, bei yake inaanzia Tshs 30million kwa maelewano zaidi wasiliana kwenye no 0655 450048, Karibuni sana.
 
Mkuu naambiwa goba mda sio mrefu lami inafika na mkandarasi kashaanza kuandaa site yake ya kuweka mitambo
Du! Tanzania bila vijisent haiwezekani,
 
Mkuu naambiwa goba mda sio mrefu lami inafika na mkandarasi kashaanza kuandaa site yake ya kuweka mitambo
Du! Tanzania bila vijisent haiwezekani,

Ni kweli mkuu Pameishachangamka sana. Na Lami itapita mda sio mrefu.
 
Ladyfurahia basi huenda ni heka 7 sio hizo sq metre
Hii industry inahitaji regulator, haiweekani mtu auze kiwanja bei ambayo anaifahamu mwenyewe. Kwani kupima kiwanja shs ngapi mpaka uuze hyo bei??
 
Hii industry inahitaji regulator, haiweekani mtu auze kiwanja bei ambayo anaifahamu mwenyewe. Kwani kupima kiwanja shs ngapi mpaka uuze hyo bei??

Sure mkuu hivi vingine vinakwaza sana, hv kweli Goba kwa kuuza sq moja 100,000 kumekuwa Manhattan? Kuna nn cha mno huko?
 
Ladyfurahia basi huenda ni heka 7 sio hizo sq metre


hahahaha, kiwanja cha ukubwa huohuo hapa mjini sehem zingine utakuta 200M-1Bn, ardhi ni mali, ukiikuta sehem ya bure we chukua tu usisite!
 
Hii industry inahitaji regulator, haiweekani mtu auze kiwanja bei ambayo anaifahamu mwenyewe. Kwani kupima kiwanja shs ngapi mpaka uuze hyo bei??[/QUOTE

Tunaangalia vitu vingi sana kabla mtu hujauza faida na hasara, Hii haiitaji regulator mkuu. Ni very resonable labda uje ukaone ukubwa wa kiwanja na area yenyewe ndo utaelewa.
 
hahahaha, kiwanja cha ukubwa huohuo hapa mjini sehem zingine utakuta 200M-1Bn, ardhi ni mali, ukiikuta sehem ya bure we chukua tu usisite!

Ni kweli mkuu Goba kwa sasa kumeshakuwa prime area.
 
Goba pako hot kwa strategy za kutoka nje ya mji au uingia mjini watu wote wa kimala na Mbezi Luisi ndio njia yao ya shot cut.
 
Hii industry inahitaji regulator, haiweekani mtu auze kiwanja bei ambayo anaifahamu mwenyewe. Kwani kupima kiwanja shs ngapi mpaka uuze hyo bei??[/QUOTE

Tunaangalia vitu vingi sana kabla mtu hujauza faida na hasara, Hii haiitaji regulator mkuu. Ni very resonable labda uje ukaone ukubwa wa kiwanja na area yenyewe ndo utaelewa.
Kwenye viwanja haitaji regulator na unauza bei unayotaka kwa kuwa kazi ya serikali ni kupima viwanja na kuuza kwa wananchi kwa bei nafuu hivyo kama unacho tayari na unataka kusogea nje ya mji unauza kwa faida unakwenda kukamata tena eneo lingine, kwa haraka haraka hicho kiwanja kinaweza kikawa na ukubwa wa 33m X 23 inategemea ambacho ilibaki square metre kidogo tu kiwe medium density
 
Sure mkuu hivi vingine vinakwaza sana, hv kweli Goba kwa kuuza sq moja 100,000 kumekuwa Manhattan? Kuna nn cha mno huko?

Mkuu biashara huria hiyo pia usiogope kumwambia kile kiasi ambacho unacho huenda mkafikia muafaka, unajua kuna watu mjini huwa wana hela kiasi kwamba unaweza ukaona Sinza pamejaa au K/koo lakini akisema anataka kujenga Sinza au K/koo na kweli anajenga hivyo usishangae maana anaweza akaja mtu akataka kujenga Goba na akapachukua
 
Habari ya kazi waungwana, Nina kiwanja changu kilichopo Goba Mtambani kimepimwa na kina hati miliki, kina ukubwa wa 756 sq m2 Kipo karibu na Barabara yaani Goba Center, Umeme upo Jirani hakuna gharama zaidi za kuvuta umeme, bei yake inaanzia Tshs 70million kwa maelewano zaidi wasiliana kwenye no 0655 450048 Ila Dalali hatakiwi hata kidogo. Karibuni sana.

tungefanya biashara ila umeanzia mbali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom