Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,523
- 14,002
Sisi wengine tupo Chato tutafikaje huko?Weka vipimo acha kujitetea kwa sababu za kitoto.Kodi hata fundi wa kujenga aende na "futikamba" yake akakupimie ujue ukubwa wa eneo lako.
Nikweli mkuu unaweza ukakubaliana navipimo halafu ukakuta kinamapungufu mengine ndomana nikasema kikubwa mtu kufika sait