Mapema mwaka jana nilisajili kampuni -Limited by Shares kwa ajili ya kutaka kufanya biashara moja hivi ya tender. Lakini bahati mbaya sikuweza kufanikiwa. Sasa nimeamua kuiuza kampuni hiyo kwa mtu anayeihitaji.
- Ina wakurugenzi wawili tu kwa sasa
- Ina TIN number
- Ina leseni ya kuendesha biashara ya stationery, mojawapo ya biashara inazoweza kufanya
USIJALI SANA MASUALA YA BEI TUTAONGEA TU
- Ina wakurugenzi wawili tu kwa sasa
- Ina TIN number
- Ina leseni ya kuendesha biashara ya stationery, mojawapo ya biashara inazoweza kufanya
USIJALI SANA MASUALA YA BEI TUTAONGEA TU