sikalwanda junior
Member
- Oct 9, 2016
- 15
- 9
Weka namba yako ya simu ili iwe rahisi kufanya mawasiliano
Nipo Tabora mjini kiongoziUpo mkoa gani?
Weka namba yako ya simu ili iwe rahisi kufanya mawasiliano
Nipo Tabora mjini kiongozi
Ninao ila wana changamoto kidogo, mfano juz nimeongea nao wapo morogoro na mwingine yupo nje, tunaweza kubageni bei nikalipia kiasi flani hivi nikipokea mzigo nimalizie malipo yako mkuu, kuna kampuni ya NBS tabora dar huwa ni salama mara nyingi nawatumia wao!Sawa mkuu. Una jamaa yoyote Dar? Kama unaye kiushauri na usalama zaidi ni kheri nionane naye, authaminishe mzigo, baada ya hapo ndio tupange wewe unaupataje, kama tunampa mtu ambaye atakuwa anasafiri ama tunasafirisha kama package. Ubaya ni kuwa biashara yangu bado ni ndogo sana, sijafikia bado kuweza fanya mauzo nje na kuwa na usafiri wa uhakika.
Habari wakuu. Na wote wenye ndoto za kumiliki Iphones.
Iphones used zilizo katika hali bora zinapatikana. Unachotakiwa ni jambo jepesi tu. Weka iphone unayohitaji nitakupatia bei zake na kukufikishia. Karibuni nyote.
Kwa haraka haraka:
Iphone 4s : 300,000
Iphone 5: 400,000 - 450,000.
Bila kusahau iphone 5s, 6, 6s, 6+.
Nyingie weka order nitakufikia kadri ya uwezo wangu kwa bei rafiki.
Kaka wahuni wamenichukulia iphone 6s yangu, hemu nitafutie moja kwa bei RAFIKI KAKA!!!!!
Ninao ila wana changamoto kidogo, mfano juz nimeongea nao wapo morogoro na mwingine yupo nje, tunaweza kubageni bei nikalipia kiasi flani hivi nikipokea mzigo nimalizie malipo yako mkuu, kuna kampuni ya NBS tabora dar huwa ni salama mara nyingi nawatumia wao!
Hiyo bei sijui ni mshahara wa miezi mingapi kwa kudundulizaIphone6 bei gani

Hiyo bei sijui ni mshahara wa miezi mingapi kwa kudunduliza![]()
Mwezi ujao nitakuwa mteja wako wa 5s iwe white nyuma gold au silver.Habari wakuu. Na wote wenye ndoto za kumiliki Iphones.
Iphones used zilizo katika hali bora zinapatikana. Unachotakiwa ni jambo jepesi tu. Weka iphone unayohitaji nitakupatia bei zake na kukufikishia. Karibuni nyote.
Kwa haraka haraka:
Iphone 4s : 300,000
Iphone 5: 400,000 - 450,000.
Bila kusahau iphone 5s, 6, 6s, 6+.
Nyingie weka order nitakufikia kadri ya uwezo wangu kwa bei rafiki.
Newala moja hiyo...!I phone 6s plus bei ntani mnumbwangu?
Vipi umepata iphone 5s kwa bei yako hiyo?Ipo 400

jamani siamini macho yanguumenitapeli ndgNinao ila wana changamoto kidogo, mfano juz nimeongea nao wapo morogoro na mwingine yupo nje, tunaweza kubageni bei nikalipia kiasi flani hivi nikipokea mzigo nimalizie malipo yako mkuu, kuna kampuni ya NBS tabora dar huwa ni salama mara nyingi nawatumia wao!
huyu Deimos nimemtumia sim anasema hajaipata na ela hajanipatia kwel najuta iPhone 5 yanguHabari wakuu. Na wote wenye ndoto za kumiliki Iphones.
Iphones used zilizo katika hali bora zinapatikana. Unachotakiwa ni jambo jepesi tu. Weka iphone unayohitaji nitakupatia bei zake na kukufikishia. Karibuni nyote.
Kwa haraka haraka:
Iphone 4s : 300,000
Iphone 5: 400,000 - 450,000.
Bila kusahau iphone 5s, 6, 6s, 6+.
Nyingie weka order nitakufikia kadri ya uwezo wangu kwa bei rafiki.

Wewe unamtumiaje mtu simu bila kukupa pesa cash?huyu Deimos nimemtumia sim anasema hajaipata na ela hajanipatia kwel najuta iPhone 5 yangu![]()