Nauza Iphone mpya

Nauza Iphone mpya

SUCRE MARIACH

Senior Member
Joined
Jan 27, 2010
Posts
104
Reaction score
27
Habari za leo wadau..!? Ninazo simu mpya kabisa iphone 6plus hazijawahi kutumika na ni factory unlocked pia kuna iphone 5 na 4s hizi zimetumika kidogo sana na hazina hata mikwaruzo sababu ya screen protector na back cover...
Nicheki 0713 598383
 
Unapotaja Bei hapa unaondoa usumbufu wa mtu kukupigia simu na kuanza ku bargain, pia ingekua vizuri kama ungeweka na picha zake Hapa
 
Unapotaja Bei hapa unaondoa usumbufu wa mtu kukupigia simu na kuanza ku bargain, pia ingekua vizuri kama ungeweka na picha zake Hapa
Sasa mkuu simu zilizopo ni iphone 6 plus mpya kabisa na ni factory unlock pia kuna used iphone 4s na simu nyinginezo nyingi tu na hata kama sina kwa muda huo basi nitakuagizia iwe mpya au iliyotumika... Kuhusu kutupia picha ni ngumu sana maana sina muda( samahani sana kwa hilo)
Kila la kheri
 
Ukinunua simu kwa watu wa namna hii ni hatariii
 
Habari za leo wadau..!? Ninazo simu mpya kabisa iphone 6plus hazijawahi kutumika na ni factory unlocked pia kuna iphone 5 na 4s hizi zimetumika kidogo sana na hazina hata mikwaruzo sababu ya screen protector na back cover...
Nicheki 0713 598383

we jamaa acha utapeli,nimekutumia sms hujajibu after two hours umeniweka call barring...acha kutafuta umaarufu humu...
 
Namba ya simu ipo hapo juu, sasa sijui nini tatizo mpaka nitupie bei hapa.!? Mimi ndio mhusika na si dalali hivyo basi nicheki twende sawa

Sasa mkuu simu zilizopo ni iphone 6 plus mpya kabisa na ni factory unlock pia kuna used iphone 4s na simu nyinginezo nyingi tu na hata kama sina kwa muda huo basi nitakuagizia iwe mpya au iliyotumika... Kuhusu kutupia picha ni ngumu sana maana sina muda( samahani sana kwa hilo)
Kila la kheri

sidhan hata kama anazo hzo cmu......mburula tu huyu tapeli
 
Sasa mkuu simu zilizopo ni iphone 6 plus mpya kabisa na ni factory unlock pia kuna used iphone 4s na simu nyinginezo nyingi tu na hata kama sina kwa muda huo basi nitakuagizia iwe mpya au iliyotumika... Kuhusu kutupia picha ni ngumu sana maana sina muda( samahani sana kwa hilo)
Kila la kheri
Sasa kama huna muda umekuja kufanya nini hapa?
 
Anaoneka sio mfanyabiashara! Customer care zero.
 
Hapo ndipo wanapoumia....!
Nasikia harufu ya raia kuingizwa mjini maana muuzaji hajui afanyalo.
 
Namba ya simu ipo hapo juu, sasa sijui nini tatizo mpaka nitupie bei hapa.!? Mimi ndio mhusika na si dalali hivyo basi nicheki twende sawa

Kwa sababu umeamua kutangaza hapa basi maliza kila kitu (muhimu) hapa.

Bei ni factor mojawapo muhimu katika biashara haiitaji kuanza kuingia chemba kukuuliza bei unless kuwe na tatizo ktk upangaji wako wa bei.
 
Sasa mkuu simu zilizopo ni iphone 6 plus mpya kabisa na ni factory unlock pia kuna used iphone 4s na simu nyinginezo nyingi tu na hata kama sina kwa muda huo basi nitakuagizia iwe mpya au iliyotumika... Kuhusu kutupia picha ni ngumu sana maana sina muda( samahani sana kwa hilo)
Kila la kheri
Kwa kauli kama hizi, kauze tu ugoro bidhaa hizo hazikufai.
 
unasemq upigiwe simu wakati umeiweka kwenye call barrier simu haiendi... nimejaribu kuipiga... hapo unauza simu unablock zisiingie ukishapata mteja ukamuuzia si ndio hutapatikanika kabisa.
 
unasemq upigiwe simu wakati umeiweka kwenye call barrier simu haiendi... nimejaribu kuipiga... hapo unauza simu unablock zisiingie ukishapata mteja ukamuuzia si ndio hutapatikanika kabisa.

Samahani maana baadhi ya sehemu zinakuwa na utata wa network lakini wewe jaribu kunicheki tena na tunaweza kuonana bila wasiwasi, Pole sana kwa usumbufu
 
Back
Top Bottom