Nauza Iphone mpya

Nauza Iphone mpya

Kwa kauli kama hizi, kauze tu ugoro bidhaa hizo hazikufai.

Twilumba simu kama unazijua na unahitaji basi ni bora ukanipigia na tukaonana kama upo interested maana hata nikikutajia bei hapa lakini mwisho wa siku utahitaji tu kuziona na kuzijaribu ili uridhike nayo/ nazo... Kama nitaweka picha sio na ukaja kuona simu tofauti na hata picha niliyotupia si utaweza kunipiga hata bomu la machozi mkuu..!!!!
Nipo makini na ninachokifanya na hata muda ninaoutumia
 
Taja bei atakayetaka ku negotiate ndo akupigie

Sasa nikishakutajia bei mkuu lakini mwisho wa yote utahitaji kuziona ili ujiridhishe na sio kwa maongezi tu bila kuona kwa macho na hata kujaribu... Nitafute tu wala usiwe na presha na ukinikosa tuma ujumbe mfupi na nitakupigia mimi kama upo na uhitaji.
 
Sasa nikishakutajia bei mkuu lakini mwisho wa yote utahitaji kuziona ili ujiridhishe na sio kwa maongezi tu bila kuona kwa macho na hata kujaribu... Nitafute tu wala usiwe na presha na ukinikosa tuma ujumbe mfupi na nitakupigia mimi kama upo na uhitaji.

Atayetaka u mpostie kwenye pm, weka bei hapa kila mtu aone kaka
 
Hapo ndipo wanapoumia....!
Nasikia harufu ya raia kuingizwa mjini maana muuzaji hajui afanyalo.

Unajaribu kuonyesha ----- wako kwa kuhisi vitu ambavyo hata sivifikirii na sina hata haja ya kujaribu, Kama ni muhitaji nicheki tu wala usihofu
 
Iphone 6 plus nauza mil.1.5 ni mpya kabisa zipo na kila kitu na hazijatumika hata mara 1 pia ni factory unlocked, Zipo pia Iphone 5s na 5, 4s hizi zimetumika kidogo na ni factory unlock hata bei zake ni za papo kwa hapo yaani ni maelewano tofauti na hizo mpya kabisa... Nataraji kuwa nimeeleweka
*Kama kuna simu unahitaji pia niPM ukiambatanisha na ofa ya pesa utakayotoa, ni hayo tu na kila la kheri
 
Unapotaja Bei hapa unaondoa usumbufu wa mtu kukupigia simu na kuanza ku bargain, pia ingekua vizuri kama ungeweka na picha zake Hapa
Nimeshatoa bei kwa mpya na hizi ambazo zimetumika kidogo bei ni maelewano tu na simu ni za uhakika wala si za kuunga unga, Kila la kheri kirakapacha
 
Sasa mkuu simu zilizopo ni iphone 6 plus mpya kabisa na ni factory unlock pia kuna used iphone 4s na simu nyinginezo nyingi tu na hata kama sina kwa muda huo basi nitakuagizia iwe mpya au iliyotumika... Kuhusu kutupia picha ni ngumu sana maana sina muda( samahani sana kwa hilo)
Kila la kheri

Muda wa kujibu comments zinazo ulizia picha upo, but wa kuweka picha huna.
 
Iphone 6 plus nauza mil.1.5 ni mpya kabisa zipo na kila kitu na hazijatumika hata mara 1 pia ni factory unlocked, Zipo pia Iphone 5s na 5, 4s hizi zimetumika kidogo na ni factory unlock hata bei zake ni za papo kwa hapo yaani ni maelewano tofauti na hizo mpya kabisa... Nataraji kuwa nimeeleweka
*Kama kuna simu unahitaji pia niPM ukiambatanisha na ofa ya pesa utakayotoa, ni hayo tu na kila la kheri

5s ni bei gani na ni rangi gani?
 
hamna biashara hapa jamani achaneni na mpuuzi huyu, jitu linataka kubembelezwa liweke picha bwana nawakati linataka kufanya biashara, yani mijitu mingine bwana sijui inakuwa na ubongo gani yani na ikiitwa tapeli utaliona linaanza kulalamika ka taira vile.
 
Huyuu jamaa sio mkweli...hana simu anayouzaa na hizo iphone hana
#free advice nenda dukani,ww ng'ang'ania hapa utapeliwa..
 
Back
Top Bottom