UncleBen
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 9,693
- 12,320
Ndio naukadiria tu huo mkono umebebwa na mwili wa aina gani dahKwasababu umeamua kuona mkono
invest what you are willing to lose
Ndio naukadiria tu huo mkono umebebwa na mwili wa aina gani dahKwasababu umeamua kuona mkono
invest what you are willing to lose
Mkuu jiangalie sanani feki....angalieni hata display yake
Halafu iPhone og haipimwi kwakuangaliwa Kwa macho. Hizo picha nimeweka ili mteja aone hali ya simni feki....angalieni hata display yake
Afu sio mkono wangu huoNdio naukadiria tu huo mkono umebebwa na mwili wa aina gani dah
Ni og, kabla hujalipia unakaguaMkuu n Og au?, mbona charging port yake siyo kama zile nyingine za Apple mkuu??
Njoo nikupe i6 kavu ambayo finger print failed
Bado mkuu, ntaachaje Kwa mfano
Mkuu tukutane sehem ukague mzigo, au pinga Kwa factbiashara yakooo au wewe ndio dalalli? kweli magu kabana hadi wadada mmekua madalali wa simu fake used?,..achautapeli simu fake hiyoo, mimi mwenyewe ni mtumiaji mzuri wa vifaa vya apple ila hiyo ni feki
Ndugu yangu unataka kunilalia hembu ongeza ongeza mkuu
Hah, ndio wewe!!!Mkuu tukutane sehem ukague mzigo, au pinga Kwa fact
Wanaonijua wala hawawez niita tapeli, nimeuza sana sim Jf tangu 2014 nauza sim huku
Sema nimeacha kutumia fake name sasa natumia jina langu halisi
Ni check Pritty wa joseph
invest what you are willing to lose
YesHah, ndio wewe!!!