Nauza hiki chombo cha usafiri

Nauza hiki chombo cha usafiri

Yes unachaji tu nakuondoka, havina engine ya mafuta kabisa ,,kwa sasa havina hata usajili ila kwa kujihami ukiwa na leseni yenye daraja A ...umemaliza.

Jamanii, mbona habari njema nimechelewa kuipata aiseeh. Nakitaka hiki haswa wacha nikakitafute kariakoo au mitaa ya kisutu.

Naenda shona na suti ya leather kabisa kipindi cha mvua wala sina shida.

Ngoja nika update na leseni kwa kujihami.
 
Kuna vingine vipana zaidi hapo pa kuwekea miguu wanawekea mpaka kuni. Kama kuni inaruhusiwa sidhani kama wewe kuweka kisanduku utakatazwa.

Pia nafikiri havina maswala ya kodi au leseni. Vinahesabiwa baiskeli.

Yaani hii ni habari njema kwangu, asante sana mleta mada. Naenda ninja changu kipyaaa nifungue boksi na kutoa lailoni.

Wacha niwahi kwa kamcho Taibali.
 
Ni kuchaji na kuondoka mkuu. Hakihitaji leseni wala bima. Unatembea tu.
Kizuri kwa town trips au wikiend flan hivi kubarizi upepo.

Asante kwa taarifa, mie ndo kitakuwa usafiri wangu otherwise naenda kwenye mtoko ndo nachukua gari.

Asanteni sanaa kwa kunifungua macho.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] wasomali watampasua kichwa hawana akili .

Umenifikirisha, wezi...!

Haviibiwi kama wanavyoteka bodaboda?

Au umemaanisha anaweza pata ajali barabarani kwa madereva wazembe na walevi?
 
Back
Top Bottom