luckyline
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 15,153
- 21,788
maneno ya jf sijui wanayaokota wapi. Mara msambwanda jf balaakabisa mubashara
maneno ya jf sijui wanayaokota wapi. Mara msambwanda jf balaakabisa mubashara
mdabwada yote jf tumechanganyika na wakongo may bemaneno ya jf sijui wanayaokota wapi. Mara msambwanda jf balaa
Hajakosea sana mkuu, sema hajui tu maana ya "kutohoa " alidhani ni kutafsiri au limemaanisha. Ila mubasher likimaanisha live, hayuko mbali.we we we acha bhange zako, unaona hayo maneno yanashabihiana kweli!!!!? mubashara ni neno limetoholewa kutoka neno la kiarabu "mubasher"
Hivi huko shuleni huwa mnaenda kusomea ujinga???
Kuna tatizo la kudakia na kuyatumia maneno ndivyo sivyo,hata clouds FM wamelibadilishia matumizi hilo nenoHivi unajua maana ya neno "mubashara"???
Kuna shida sana pale watu wanapotumia maneno bila kujua maana yake