Lyamber
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 11,716
- 18,753
Sasa hivi ni 50,00010,000/= kama sikosei...
Sasa hivi ni 50,00010,000/= kama sikosei...
Weka picha tuonekwa mwenye 9m
Toyota ist DQC
Mwaka 2005
1290cc
Ukihitaji 8.5 kesho asubuhi kabla ya chai biashara tunaimaliza ipo cash mfuko wa shati.
Gari za biashara ambazo hazina usajiri wa vituo maalumu bali hufanya kazi kwa njia ya mtandao wa kidalali uitwao Uber kuunganisha dereva na abiria hufatwa alipo na kupelekwa atakapo kwa gharama nafuu.kwanini mnaziita gari za uber,? naombeni mnifahamishe
Unakataa na kukubali hilohilo nilolisema kwa kujaribu kutolea ufafanuzi tofauti na wangu.siyo kweli. Ninazo mbili...nilipata shida na madereva mwanzoni...sasa hivi hali imetulia baada ya moja kumuajiri mwanmke..hakuna gari ya uber/taxify asiyeingiza chochote..ila ukipata dereva mshenzi lazima utajuta.All in all hakuna biashara iliyo rahisi....labda ya Ontario au D9
Wengine wanazinunua lakini hawatumii sana ndo mana hata ukicheki online shops kama be forward au sbt unakuta zinatofautiana bei.Kitu kimesimamia kucha. Je ilikuwa inafanya biashara gani au ilkuwa ya matumizi binafsi, maana naona plate namba ni nyeupe.
Alafu naona ni kms 30000 tu, je ulinunua kiwandani ukalitumia au ulinunua used.
Sina hata baiskeli mkuu ila nimejaribu kuongea nachokifahamu, samahani kama nimeharibu biashara ila ndo ukweli wake.Una uzoefu ghan wa kutumia gar acha kukatishaaa watu tamaa mwache mteja aje kuangalia gari
Unakataa na kukubali hilohilo nilolisema kwa kujaribu kutolea ufafanuzi tofauti na wangu.
Kubali usikubali wengi wameingia mkenge na biashara hiyo na wameambulia hasara.
Imepiga safari nyingi sana?Gari za uber zipo pale quality plaza zinauzwa kwa bei isiyozidi 7 mil.
Hii biashara imewaingiza wengi mkenge na wamejikuta wakiambulia hasara tu.
Mjuaji wa gari hawezi nunua gari iliyokwishafanya biashara ya uber kwa milion 10 mkuu samahani lakini huo ndio ukweli.
Ni warembo?Ila bado Uber imetoa ajira kwa vijana wengi sana, at least unaona hata wanawake wanaendesha taxi kwa sasa!
Ndio mkuuImepiga safari nyingi sana?
Mambo vipi mkuu...hii gari nimeiona leo maeneo ya aureke(wanapotengenezs tofali pale) upo pande hizo nini?Ila bado Uber imetoa ajira kwa vijana wengi sana, at least unaona hata wanawake wanaendesha taxi kwa sasa!
huyo Ontario ana biashra gani anayomilikisiyo kweli. Ninazo mbili...nilipata shida na madereva mwanzoni...sasa hivi hali imetulia baada ya moja kumuajiri mwanmke..hakuna gari ya uber/taxify asiyeingiza chochote..ila ukipata dereva mshenzi lazima utajuta.All in all hakuna biashara iliyo rahisi....labda ya Ontario au D9
Mkuu umejuaje asee wakati pengine kapangaNyumba yako nzuri mkuu naomba raman yake
Dhumuni la kuinunua lilikuwa nini kama 'haiendeshwi' muda mwingi?Gari yangu haijafanya kazi za Uber na Ina 31000 km tu, gari ipo kwny hapo nzuri sana maana mda mwingi haiendeshwi
Dhumuni la kuinunua lilikuwa nini kama 'haiendeshwi' muda mwingi?
Maana lugha hii tunakutana nayo sana kwa madalali.