Nauza Gari yangu mpya IST

Nauza Gari yangu mpya IST

Kiongozi ukifika 8 milion nicheki fasta kwenye PM tumalize bznes mda wwte please
 
Ila gari nzuri sana. Ni ya kununua na iwe ya kufanya mambo yako na ya home tu. Au kama uber au taxif fanya mwenyewe..
 
make:Toyota IST
Registration: DQG
insurance: premium/comprehensive to April 2020
Year :2004
Cc: 1290
Kms :30000
Purpose: commercial vehicle
Engine :VVTI
Clean Seats
New Tires
Music :Radio/cd
Full Documents (File)
Fuel 😛etrol
Transmission: Auto
Seating Capacity 5
Imported From Japan
Jack
Spare Tire
Wheel Spanner
In immaculate Condition
Price: 10.9
Only serious buyers should contact
Gari Ipo Dar

0764931111View attachment 1160621View attachment 1160622View attachment 1160623View attachment 1160625

Kitu kimesimamia kucha. Je ilikuwa inafanya biashara gani au ilkuwa ya matumizi binafsi, maana naona plate namba ni nyeupe.

Alafu naona ni kms 30000 tu, je ulinunua kiwandani ukalitumia au ulinunua used.
 
siyo kweli. Ninazo mbili...nilipata shida na madereva mwanzoni...sasa hivi hali imetulia baada ya moja kumuajiri mwanmke..hakuna gari ya uber/taxify asiyeingiza chochote..ila ukipata dereva mshenzi lazima utajuta.All in all hakuna biashara iliyo rahisi....labda ya Ontario au D9
Naaam!
 
Kitu kimesimamia kucha. Je ilikuwa inafanya biashara gani au ilkuwa ya matumizi binafsi, maana naona plate namba ni nyeupe.

Alafu naona ni kms 30000 tu, je ulinunua kiwandani ukalitumia au ulinunua used.

Nilinunua ikiwa na 15300km, mwanzo nilisajili kama commercial Ila baadae nikasitisha, kwa sasa Ina # plate ya njano (private)
IMG_3377.JPG
IMG_3380.JPG
 
samahani kwa swali nje ya uzi..

why gari nyingi za uber zinauzwa baada ya miezi mitatu hadi sita baada ya kununuliwa? je ukitest biashara haileti hesabu nzuri

Hii yangu sio Uber, inatumika kwa shughuli tu za home na Ina private number
IMG_3384.JPG
IMG_3376.JPG
 
Gari za uber zipo pale quality plaza zinauzwa kwa bei isiyozidi 7 mil.
Hii biashara imewaingiza wengi mkenge na wamejikuta wakiambulia hasara tu.
Mjuaji wa gari hawezi nunua gari iliyokwishafanya biashara ya uber kwa milion 10 mkuu samahani lakini huo ndio ukweli.
Una uzoefu ghan wa kutumia gar acha kukatishaaa watu tamaa mwache mteja aje kuangalia gari
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom