Nauza friji, bei nafuu sana

Nauza friji, bei nafuu sana

ELIMU PESA

Member
Joined
Jul 22, 2017
Posts
62
Reaction score
36
Nauza friji kama inavyoonekana kwenye picha. Bei ni shilingi laki 110,000/= (laki moja na kumi).

Haina gesi. Ikiwekewa gesi inagandisha na kupoza bila shida. Ninapatikana Morogoro, Kihonda-Bima. Mawasiliano 0755267811.

Sababu ya kuiuza ni uhitaji wa fedha kwa haraka kwa lengo la kutatua tatizo linalonikabili.
ASANTENI!
IMG_20200725_140805.jpg
IMG_20200725_140913.jpg
IMG_20200725_140933.jpg
 
Back
Top Bottom