Nauza Fridge pamoja na washing machine bei chee

Nauza Fridge pamoja na washing machine bei chee

washing machine ni kilo ngapi?
Ni manual au automatic?
Ni ya kuunganisha Maji kwa mpila au ni ya kummina na ndoo
Na je imetumika mdagan!?
Je ilishawah kwenda kwa Fundi!?
Na je inatatzo lolote(bila kujali udogo Wa tatizo )?
Na je list ya manunuzi yake unayo!?
mpaka uje ujibiwe hayo maswali yako ya nyongeza jamaa atakua ameshafika mbeya na kanunua vingine.
jiongeze kaweka number ili kukurahisishia mawasiliano.
si kila mtu anajibu na kufuatilia comments za watu.
 
Mkuu kama hauna shida ya hela mpaka huko mkoani utatumia chini ya 50,000/= kusafirisha
 
Dah Jamaa hajaomba ushauri wewe unatoa ushauri,Jamaa anauza mali yake halali na kwake hiyo uenda ndio best option wewe unamshauri asiuze, hii huruma huruma ya Kitanzania ndio inatukwamisha sana kuanzia ngazi ya familia hadi Taifa kwa ujumla Aisee,maana kila Mtanzania anajua best option ya mtanzania mwenzake hata kama hamjui.
Kwani kamlazimisha mkuu? Pengine muuzaji hakuwa na wazo kama hili huon kama kamsaidia maana sababu za kuuza zipo wazi na si kwamba ni shida ya pesa.
 
Asa wengne mnalazmisha asiuze kama anaenda makete au lushoto kwenye barid kali akafanyie kaz gan hlo fridge? Na hilo washn mashne kama anaenda huko kgoma ndan ndan kusiko na umeme nako la kaz gan? Au mnadhan n la kuchochea kwa kuni?
 
Kuweni makini na kuweka namba zenu za simu pia...hii si sehemu salama sana every body is most wanted here.
 
washing machine ni kilo ngapi?
Ni manual au automatic?
Ni ya kuunganisha Maji kwa mpila au ni ya kummina na ndoo
Na je imetumika mdagan!?
Je ilishawah kwenda kwa Fundi!?
Na je inatatzo lolote(bila kujali udogo Wa tatizo )?
Na je list ya manunuzi yake unayo!?

Imechukuliwa mkuu tayar
 
IMG_2979.JPG
IMG_2982.JPG
IMG_2978.JPG
IMG_2980.JPG
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom