Nauza Fridge pamoja na washing machine bei chee

Nauza Fridge pamoja na washing machine bei chee

Kesho mda gani nije kuchukua hiyo fridge mkuu?
 
Daaah ungekua mbeya tungefanya biasha iyo fridge maana nahitaji kwel mkuu
 
Mkuu hakuna vingine unavyouza hapo geto?
 
Mkuu vipeleke posta wanakusafirishia kwa gharama nafuu sana. Sikushauri kuuza vitu vyako eti kisa tu unahama mkoa.

Kuna jamaa yangu alihamishwa kikazi kutoka Kibaha kwenda Mbeya. Alikuwa na furniture na vitu kibao TV, Fridge n.k alivipeleka posta na vilifikishwa Mbeya ndani ya siku tatu tu kwa gharama nafuu sana.
Unapatikana kibaha?
 
washing machine ni kilo ngapi?
Ni manual au automatic?
Ni ya kuunganisha Maji kwa mpila au ni ya kummina na ndoo
Na je imetumika mdagan!?
Je ilishawah kwenda kwa Fundi!?
Na je inatatzo lolote(bila kujali udogo Wa tatizo )?
Na je list ya manunuzi yake unayo!?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom