Afrolink-Tz Consult Ltd
JF-Expert Member
- Feb 25, 2018
- 420
- 939
TAARIFA: AC IMESHAUZWA
Habari zenu
Nauza ac inafaa kwa chumba size sq 14 hv maana imefungwa bado haijafunguliwa inafanya kazi. Ni kuja kuwasha kuhakiki na kama una fundi wk mnaifungua na kuondoka nayo
Ni ac ndogo btu 9000, nilikuwa naitumia mwenyewe hadi sasa ila nahama ofisi yenye ukubwa zaidi hvy haifai kutokana na saizi ya ofisi mpya
Bei sh 250,000 maongezi yapo
Mahala: Jengo la Mariam Tower, ghorofa ya nne, Mtaa wa Shaurimoyo/Songea, Ilala, Dsm
Simu/inbox/whatsapp: 0777777766|0659211222
Picha zaja.......
Habari zenu
Nauza ac inafaa kwa chumba size sq 14 hv maana imefungwa bado haijafunguliwa inafanya kazi. Ni kuja kuwasha kuhakiki na kama una fundi wk mnaifungua na kuondoka nayo
Ni ac ndogo btu 9000, nilikuwa naitumia mwenyewe hadi sasa ila nahama ofisi yenye ukubwa zaidi hvy haifai kutokana na saizi ya ofisi mpya
Bei sh 250,000 maongezi yapo
Mahala: Jengo la Mariam Tower, ghorofa ya nne, Mtaa wa Shaurimoyo/Songea, Ilala, Dsm
Simu/inbox/whatsapp: 0777777766|0659211222
Picha zaja.......