Red black
JF-Expert Member
- Nov 29, 2019
- 11,896
- 36,750
HahahaUpo tegeta maeneo Gani? Laki 1 hauchukui mkuu?
HahahaUpo tegeta maeneo Gani? Laki 1 hauchukui mkuu?
Ukifika 120k unicheki ninulie watoto wacheze magemuLaki uongo boss, tabla 190k hv nipo Rabinisia
Kawanunulie magemu ya laki na 20, mimi mwisho sana 170k minimumUkifika 120k unicheki ninulie watoto wacheze magemu
itafika tu 120k👿 muda utaongeaUkifika 120k unicheki ninulie watoto wacheze magemu
Kanunue routerIpo 50k njoo udsm Kuna kijana ataipokea
Haya sawaitafika tu 120k👿 muda utaongea
Unabei gani?PC inatumia intel celeron afu 230k
Mwisho 160k130k nimtume kijana aje aichukue
Ngoja niwe na subraitafika tu 120k👿 muda utaongea
Mbona Kama hujakomaa kibiashara wewe sio mchaga inaonekana, muwe mnawapa watu wanaojua biashara wanawasaidia kufanya biashara, mtu anasema aliyo nayo wewe unahisi Kama unadharauliwa so unajibu Kama kupooza hisia zako Ila unaharibu katika ULIMWENGU wa biashara mkuu, mie hata ungeniambia unayo buku kumi ningekujibu poa tu Mana biashara ipo damuni yaani sio ya kubipu Ile automaticKanunue router
Aaa ahsante kwa somo, nikweli sio mchagaMbona Kama hujakomaa kibiashara wewe sio mchaga inaonekana, muwe mnawapa watu wanaojua biashara wanawasaidia kufanya biashara, mtu anasema aliyo nayo wewe unahisi Kama unadharauliwa so unajibu Kama kupooza hisia zako Ila unaharibu katika ULIMWENGU wa biashara mkuu, mie hata ungeniambia unayo buku kumi ningekujibu poa tu Mana biashara ipo damuni yaani sio ya kubipu Ile automatic