Nauza Bidhaa za Oriflame

Nauza Bidhaa za Oriflame

cheapest perfume kuliko zote ni ipi na ni tshs ngapi; na wakala unakula comission kiasi gani ?

Bidhaa cheap ni sabuni hii hapa,,5,000/=..husaidia uso kuwa nyororo!
 

Attachments

  • 1408102429493.jpg
    1408102429493.jpg
    8.8 KB · Views: 308
Mmh..sijajua unachokitaka bado,,yaani unataka kujua napata faida kiasi gani ama?
Nimeuliza cheapest perfume ni kiasi gani ? (ingawa wewe umenijibu sabuni)
Na kama umeelezea kwamba mtu ajiunge (lazima kuna faida ya kujiunga..) sasa hio faida ni kwamba ninapata comission nikiuza hizo bidhaa ? (kama ndio ni kiasi gani ?) na kama hakuna commission je ninanunua kwa punguzo nikiwa member ?, na kama ninanunua kwa punguzo Je ninahitaji kuwa na stock au mtu akitaka ninaweza kuzitoa sehemu kwa haraka ?

Nadhani haya maswali yasingekuwa mengi kama ungenijibu pale mwanzo nilivyokuuliza hii ni MLM au ?
 
Nimeuliza cheapest perfume ni kiasi gani ? (ingawa wewe umenijibu sabuni)
Na kama umeelezea kwamba mtu ajiunge (lazima kuna faida ya kujiunga..) sasa hio faida ni kwamba ninapata comission nikiuza hizo bidhaa ? (kama ndio ni kiasi gani ?) na kama hakuna commission je ninanunua kwa punguzo nikiwa member ?, na kama ninanunua kwa punguzo Je ninahitaji kuwa na stock au mtu akitaka ninaweza kuzitoa sehemu kwa haraka ?

Nadhani haya maswali yasingekuwa mengi kama ungenijibu pale mwanzo nilivyokuuliza hii ni MLM au ?

Yah..kuna faida,,siwezi nikaweka bidhaa na bei yake halafu bado niweke mimi napata faida kiasi gani katika kila bidhaa,,unless labda utanipigia nikueleze personally!ndo maana nikaweka namba za simu
sijaelewa maana ya MLM though..naomba ufafanuzi hapo
 
Nasikia tangazo redioni kuhusu 50% ya products zenu, vipi promotion bado ipo?
 
Yah..kuna faida,,siwezi nikaweka bidhaa na bei yake halafu bado niweke mimi napata faida kiasi gani katika kila bidhaa,,unless labda utanipigia nikueleze personally!ndo maana nikaweka namba za simu
sijaelewa maana ya MLM though..naomba ufafanuzi hapo

Multi Level Marketing mfano Forever, Tianshi, GNLD n.k. mfumo ambao mtu unauza bidhaa za kampuni na kusajiri watu wauze/kutumia hizo bidhaa na wewe kupata comission through matumizi yao na mauzo yao...

Nadhani ukimwambia mtu ajiunge ni muhimu ukaweza hizo faida.., ingawa ingekuwa ni issue ya kuuza tu na mtu atumie basi hapo ningekuwa nimekosea kukuuliza faida inayopatikana sababu ninachukua kutumia na sio kufanya biashara.. (unless haufanyi recruitment ya watu ili na wenyewe wauze)

Kuhusu kupiga simu sio kwamba kila mtu yupo interested aanze hii biashara ila huenda mimi kuna mtu nyumbani ninamjua kwahio ukinifahamisha mimi (hata kama sipo tayari kujiunga) ninaweza nikamwelekeza mtu mwingine ambaye yupo interested kujiunga hivyo mwisho wa siku unapata mteja. Kumbuka word of mouth inasaidia sana hivyo kutoa habari na kuelewesha wengi (hata wasio na credit kwenye simu au mabubu/wenye kigugumizi..) inasaidia kuliko kusubiri watu wakupigie
 
Kuna night gel cream mnayo ina mfuniko wa green? Ni sh ngapi? Na scrub pia
 
Unaweza kuweka list ya bidhaa zilizo kwenye promotion na price zake? Naweza kukuunga mkono.

Offer mojawapo ni hiyo..hiyo ni pure leather handbag bei yake ya kawaida ni 70,000/=ukijiunga na Oriflame utalipata kwa 9,000/=
 

Attachments

  • 1408120558838.jpg
    1408120558838.jpg
    36.3 KB · Views: 158
Unaweza kuweka list ya bidhaa zilizo kwenye promotion na price zake? Naweza kukuunga mkono.

Nyingine ni hii hapa..yaitwa Optimals ni ya kuondoa chunusi!ukijiunga na Oriflame utaipata kwa 9,000/= bei yake halisi ni 28,000/=
 

Attachments

  • 1408120938337.jpg
    1408120938337.jpg
    7.9 KB · Views: 144
Kwa mlio instagram mnaweza kufollow page yangu "oriflamecosmetics3" na mtakutana na mengi,,
 
Back
Top Bottom