Nauza Bidhaa za Oriflame

Nauza Bidhaa za Oriflame

Joined
Aug 13, 2014
Posts
76
Reaction score
4
Tumia bidhaa asili za Oriflame kutoka Sweden zilizotengenezwa na mitishamba...Jiunge na Oriflame pia ujiongezee kipato!kujiunga ni 9,000/=
Kama una mtaji wa laki moja hujui ufanyie nini basi Oriflame ni jibu lako!
 
Tumia bidhaa asili za Oriflame kutoka Sweden zilizotengenezwa na mitishamba...Jiunge na Oriflame pia ujiongezee kipato!kujiunga ni 9,000/=
Kama una mtaji wa laki moja hujui ufanyie nini basi Oriflame ni jibu lako!

Hii ni MLM au ni nini ?, na kama kujiunga ni elfu 9, hio laki moja inafanya nini au ni ya products..

Unaweza ukaweka products zao hapa list nzima na bei kwa msaada wa wengi na kupunguza kupigiana simu ?
 
Kama ulivyosema laki moja ni ya products..huwezi kujiunga tu halafu ukakaa kimya..unahitaji pesa ili ununue bidhaa ukafanye mauzo!
 
Pls tuoneshe bidhaa na bei zake hapa chini ili tuone na kkukutafuta kwa simu
kwani bila kuona na kujua matumizi ya hizo bidhaa inakuwa ngumu kuamini.
 
Ok..tuna hii hapa perfume ya kiume inaitwa More,,ni ya watu wote..bei ni 99,000/=
 

Attachments

  • 1408100968048.jpg
    1408100968048.jpg
    15.9 KB · Views: 337
Hii yaitwa Paradise..ni ya kike,,bei ni 72,000/=
 

Attachments

  • 1408101128013.jpg
    1408101128013.jpg
    12.6 KB · Views: 294
Na hii pia yaitwa Ascendant,,for male..bei ni 72,000/=
 

Attachments

  • 1408101363846.jpg
    1408101363846.jpg
    25.7 KB · Views: 303
Ok..tuna hii hapa perfume ya kiume inaitwa More,,ni ya watu wote..bei ni 99,000/=
Kwahio mna-deal sana na cosmetics alafu bei yenu mkasi sana hapo unanunua hio alafu unauza ngapi sasa ? cheapest product yenu ni ipi na ni bei gani
 
  • Thanks
Reactions: dtj
Kwahio mna-deal sana na cosmetics alafu bei yenu mkasi sana hapo unanunua hio alafu unauza ngapi sasa ? cheapest product yenu ni ipi na ni bei gani

Yap..tunadili na cosmetics tu!hiyo tayari ni bei ya mteja kama wewe unataka kuuza basi uwe wakala na tutakuambia unainunua sh.ngap na utaiuza sh.ngapi..
 
Sasa ukisema perfume ya kiume afu ukasema ya watu wote una maana gani? wanaume na mapunga?
 
Hii ni dawa ya kutibu miguu kupasuka..bei yake ni 11,000/= tu
 

Attachments

  • 1408101710447.jpg
    1408101710447.jpg
    7.4 KB · Views: 293
yani parfume elfu90, 72 n.k !? kweli watu mnahela.. !
 
Back
Top Bottom